leme twende akemi..Hunishind mm, yani inapofika friday tangu asubui nakua nafurahafuraha tu, na mara zote huwa siku nzuri..leo bata wapi vivian
ohh!! I love friday guys,
leo..................mhhh mishkaki!!!!!! na kachumberiii!!!
Mlachake yupwapi sijui!!!!
Shemeji (Hii nikumfumba macho sosoliso ujue nakupenda sana) usihofu kuna mishkaki ya Nundu pale coco ukitoka nistue nitakua hapa samaki samaki ya Posta.
Mpwa sosoliso tunakukaribisha.
Shemeji (Hii nikumfumba macho sosoliso ujue nakupenda sana) usihofu kuna mishkaki ya Nundu pale coco ukitoka nistue nitakua hapa samaki samaki ya Posta.
Mpwa sosoliso tunakukaribisha.
Naona muda huu atakuwa ndani ya defender akipelekwa kituo cha polisi cha stakashari ukonga.. Unamponza mwenzio ujue..
Wewe Mlachake wewe subiri hao wandava wakufikishe kituoni Stakishari Ukonga ndo ujue mke wa mtu ni sumu..
wiiiiiivuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Bila ya wivu utajuaje kama ninakupenda mke wangu..? Wataka kunisaliti kwa ajili ya mishkaki tuu..?
yani wewe?!?! hivi nikikuacha ntalaumiwa kweli???
mtu hata hujui clinic naendaga ama vipi!!?
heeeeee..............
Ukiniacha wallah nitaji-nyalukolo mie..
aahahahaaaaa
hapo ndipo nnapokupendeaga!!!
ntajaribu nione kama utaweza!!!