The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Happy furahi-day too dada FL1....mifuko mikavu kweli bado mishahara kuingia mpaka sasa
Njoo nikukopeshe ila uje na hati ya nyumba na gari lol!!!!!
Happy furahi-day too dada FL1....mifuko mikavu kweli bado mishahara kuingia mpaka sasa
Asante sana dear!!!
Nawe pia wknd njema
Asante yako isiishie kwa maneno tu,
hebu mgongee senksi ya nguvu bana,
Desidii punguza uchoyo bana!!!!!!lol.......
Mie sijui vile inavyogongwa Asprin alinifundisha nishasahau nifundishe basi mie mgeni
Mie sijui vile inavyogongwa Asprin alinifundisha nishasahau nifundishe basi mie mgeni
So its FRIDAY..... Ahsante kwa kunikumbusha?:clap2::clap2::clap2:
Wapenzi nawatakia Ijumaa njema na weekend yote kwa ujumla nadhani itakuwa njema sana hasa nikiangalia ndio mwisho wa mwezi wenyewe kwa wale wenzangu walio katika ajira na wale mabiziness man /women ndo mnafanya monthly stock taking..
1.Msisahau family zenu mkazamia Bar na kurudi home mifuko tupu.
2.Msiache kina Eliza wakatumia feza mpaka mifuko ikakung'utwa
3.Kunyweni kwa afya na si kwa mashindano
5.Make sure watoto wanafurahia weekend na baba na mama
6.Wale ma Infiiiiiii ..kumbukeni kutumia Protection lile janga likiingia ndo limeteketeza family na kuacha watoto wanateseka
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake
Ngoja nimwite Finest,
hizi kazi ndo huwa anaziweza bana!
Yah!! Nimeipata ila mbona mnataka kunikomoa yaani proforma total yake chini imeandikwa in USD
Happy furahi-day too dada FL1....mifuko mikavu kweli bado mishahara kuingia mpaka sasa
habari zenu wajameni...
mi si n'kajua jana ijumaa bana....
nilijitundikiaje madrip sasa......!we!we!
Aisee Desidii am watching.
Na uliniahidi hutaniangusha... na bado hujaniangusha.:clap2::clap2:
Orait mpwa nasikia kuna kazi ya kugonga nani anataka kufindishwa
ha ha ha ha sasa mkwe mbona unatoa siri jamani ......lakini unaweza ku-convert iwe Naira usichelewe mkwe
Mimi hapa
Wapenzi nawatakia Ijumaa njema na weekend yote kwa ujumla nadhani itakuwa njema sana hasa nikiangalia ndio mwisho wa mwezi wenyewe kwa wale wenzangu walio katika ajira na wale mabiziness man /women ndo mnafanya monthly stock taking..
1.Msisahau family zenu mkazamia Bar na kurudi home mifuko tupu.
2.Msiache kina Eliza wakatumia feza mpaka mifuko ikakung'utwa
3.Kunyweni kwa afya na si kwa mashindano
5.Make sure watoto wanafurahia weekend na baba na mama
6.Wale ma Infiiiiiii ..kumbukeni kutumia Protection lile janga likiingia ndo limeteketeza family na kuacha watoto wanateseka
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake
Love u all