Desidii
JF-Expert Member
- Oct 2, 2007
- 1,201
- 86
Lakini ni vyepesi kupokonywa
Uongo bana
Lakini ni vyepesi kupokonywa
Abiria chunga mzigo wako
Vibabu vinajua kutunza wewe
Asante, but NO THANKS hii Ijumaaa imenikalia vibaya kabisa.......daaaaamn
TGIF anyways
Kuna mtu kanionea Smiles?:coffee:
habari zenu wajameni...
mi si n'kajua jana ijumaa bana....
nilijitundikiaje madrip sasa......!we!we!
yani hapa nilipo nimechanganyikiwa kabisa......
nalia na kahawa tu
Aisee Desidii bado niko hapa...Watching!
Aisee Desidii ahsante kwa hii compliment.
Niko hapa nafuatilia mwenendo wako.
Wapenzi nawatakia Ijumaa njema na weekend yote kwa ujumla nadhani itakuwa njema sana hasa nikiangalia ndio mwisho wa mwezi wenyewe kwa wale wenzangu walio katika ajira na wale mabiziness man /women ndo mnafanya monthly stock taking..
1.Msisahau family zenu mkazamia Bar na kurudi home mifuko tupu.
2.Msiache kina Eliza wakatumia feza mpaka mifuko ikakung'utwa
3.Kunyweni kwa afya na si kwa mashindano
5.Make sure watoto wanafurahia weekend na baba na mama
6.Wale ma Infiiiiiii ..kumbukeni kutumia Protection lile janga likiingia ndo limeteketeza family na kuacha watoto wanateseka
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake
Love u all
Wapenzi nawatakia Ijumaa njema na weekend yote kwa ujumla nadhani itakuwa njema sana hasa nikiangalia ndio mwisho wa mwezi wenyewe kwa wale wenzangu walio katika ajira na wale mabiziness man /women ndo mnafanya monthly stock taking..
1.Msisahau family zenu mkazamia Bar na kurudi home mifuko tupu.
2.Msiache kina Eliza wakatumia feza mpaka mifuko ikakung'utwa
3.Kunyweni kwa afya na si kwa mashindano
5.Make sure watoto wanafurahia weekend na baba na mama
6.Wale ma Infiiiiiii ..kumbukeni kutumia Protection lile janga likiingia ndo limeteketeza family na kuacha watoto wanateseka
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake
Love u all
yes dear nitajitahi kufanya yote niliwaambia ,usihofu juu ya mie
FL1 hapo kwenye red umenikumbusha asubuhi wakati nawaandaa watoto kwenda shule, one of my sons akanikumbusha "mum, today is Friday; will you come back early from the office so that we go to Mary Brown?" Nilichoka!
Kwa hiyo hapa nina deni mwenzenu
Mimi na wewe tena kama uji na mgonjwa
FL1 hapo kwenye red umenikumbusha asubuhi wakati nawaandaa watoto kwenda shule, one of my sons akanikumbusha "mum, today is Friday; will you come back early from the office so that we go to Mary Brown?" Nilichoka!
Kwa hiyo hapa nina deni mwenzenu
Hapa Mama lazima utimize ombi la mtoto , unajua watoto ni lulu na furaha moyoni kama mungu akikujalia kuwa nao
utatamani wawe ubavuni mwako 24 hours a day.
.....
7.Tafadhari tusiache kutoa zaka Maana tutakuwa tunaomba mungu atupe mafanikio na tunayapata lakini sifa na utukufu tunashindwa kurudisha kwake
Love u all
Aisee Dseidii....mimi ni uji au mgonjwa hapo?
Rafiki...Mary Brown ndio? Hebu nielekeze tunaweza anzisha urafiki wa watoto wetu pia.