Naona umeamua kunichamba Sasa!!Aaahahahahahaaa Keendhhyyyy acha wivuuu.... Siku kama ya leo Dadii namuogesha, nampikia, namlisha kisha nambeba na kumbembeleza alale usingizi.
Ungekuwa umeanza kulea mwana ningekuletea keki ya Father's Day. Ongeza bidii na kujituma upate kopi duniani ehehehehee.
Hongeren wababa wte mliopo hum,niwatakie happy father's day,ila kama wew n baba na unamchepuko nje hii hongera yangu usichukue,nawale wa baba ambao mlizalisha hamjaoa ila mnalea watoto wenu mbarikiwe pia,ila kama ulizalisha alafu hujui kulea wew pita kushoto [emoji23][emoji23]
Unaolewa lini?Tunakoelekea utaanza kuhonga!U wish
Umewasahau wanaolea watoto wa watu wengine bila kujua.
Daa!!ngoja nikaanue nguo zangu kwanza kwenye kambaUkimaliza kumuhubiri huyo mzee uje uniwekee maji ya kuoga kisha tufanye urudi tena huko kwa mapengo lako..[emoji12][emoji28]
Duh..! Haya nimekubaliπͺMie naamini hivyo kbs!
Dingi yangu amezaa nje watoto 4! Mtoto wa mwisho wa nje hajafanana na sisi kabisaaa....ana kaurabu .na huku kwetu hakuna..! Mweupeeeee! Bas zikaanza roumours oh sio mtoto wake..nahis baba aliziba pamba!..
Ila alibaguliwa vyakutosha aisee..bas alikua akija home hakuna hata mmoja anayemtreat well..had msos ! Bas mie nikawa najitoa ufahamu Sana (ingawa najua later maza atanipiga)! Kumbe bwana me nnavyonjali anayaweka akilini ..so amesoma same yr na dogo letu la mwisho...mtoto wa ndoa anashkomeshwa nje ya nchihuyu baba akiamua anatoa ada au amrushe...vitabu akamwambia tafuta mie Sina hela .bas akaniambia tukafaiti akapata..kumbe moyoni kaweka kinyongo kwa familia yetu...
2017kaja akanipigia simu...akasema sisy wewe unajua umesaidia kufika hapa? Bas akaanza nikumbusha Mambo ya 2000's huko! Mie hata sikumbuki...alikua anaongea analia...
Baba alitaka aebde teaching akagoma ..bas dingi akasema Kama umegoma mie sitoi ada .akasoma finance bila ya Ada ya baba...bamdg akaamua kumsaidia ..
Dogo ametusua mie hata kumpgia huwa najipanga hata mwezi! Elewa maana ya kutusua maisha...ni boss huko tra mpakani!
Unaona? Ila kiukwel Kama sio wetu kbs! Bas tu!..
Mh naishia hapa najua atakuwaga anapita jf!
Ila wanawake nyie Mungu atuongoze vizuri tu tuishi nanyi kwa akili.
Sikukuu yenu ikifika...hata malaya na waliowabambikia baba zetu mimba tunawatakia.
Ila yetu mnaanza ubaguzi mara wanaochepuka mara sijui waliofanya nini.
Mbaba mwenye kitambi changu tayari nimewahi hapa!
Naona umeamua kunichamba Sasa!!
Nitazaa nawe hivyohivyo naubibi wako hata kama kale ka age umekapita nitakuonyesha how do i do to do the do of the dudu..π
Mi ndo sniper wa kitandani mama na Mimi si yule wakusema penye miti hapana wajenzi!!.. Mimi si lile zimwi linalokula halafu halikwishi!!..
Mimi ni kenzy mtenzi ninaejua mapenzi bila kuchapa makwenzi..
You get it girl wa zamani..ππ
Hayo mafinyango yenyewe hata hayatafuni kwasababu anamapengo..Mikwara yako tuu na mikogoo aahahahahahhaaa
Dudukee anakutizama tuu huku anatupia finyango mdomoni..
Hayo mafinyango yenyewe hata hayatafuni kwasababu anamapengo..
Na apewe tuzo ya kumeza bila kutafuna..ππ
Baby ukikasirika sema..ππ
Bwana na aseme nanyi..!πKeengeeeh weeeh
Kumbe hujuii utamu wa kung'atwa ng'atwa na mapengo weeyeeee aahahahahaa
Natafuna mie kisha nampa yeye anamung'unya utamu na kumeza, chezea mahaba ya chotara weewee aahahahahaaa.
Nimetoka kuchungulia status ya mama ati kapost "R. I. P daddy i miss you" na kaemoji cha kulia.
Sasa nimecheka sana huyo mzee amefariki siku mingi kabla mimi sijazaliwa.
.
Anyway happy fathers day.
Hata sijasalimu nimeamua kujiepusha tu na vimapengo vyenu..πAaahahahahhaa asante kusalimu na kuinua mikono.
Cheers to Kasie na Dadii Duuduukee.
Hata sijasalimu nimeamua kujiepusha tu na vimapengo vyenu..π
Hivyo nimemuachia bwana aamua istahilivyo..π