Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,493 Oct 26, 2012 #1 Kwa niaba ya Waziri wa Elimu wa nchi ya muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe mwaka 11964 nawatakia nyote sikukuu njema ya Iddi.
Kwa niaba ya Waziri wa Elimu wa nchi ya muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe mwaka 11964 nawatakia nyote sikukuu njema ya Iddi.
ndetichia JF-Expert Member Mar 18, 2011 27,772 6,555 Oct 26, 2012 #2 na wewe pia mzee wa intorodaksheni..
S sithole JF-Expert Member Mar 13, 2012 307 115 Oct 26, 2012 #5 wakuu hv leo ni sikukuu kweli?manake wengine tumelala hatuna uhakika,na huku tulipo maporini hakuna hata masjid tungesikia wakipiga swala
wakuu hv leo ni sikukuu kweli?manake wengine tumelala hatuna uhakika,na huku tulipo maporini hakuna hata masjid tungesikia wakipiga swala
Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,493 Oct 26, 2012 Thread starter #6 sithole said: wakuu hv leo ni sikukuu kweli?manake wengine tumelala hatuna uhakika,na huku tulipo maporini hakuna hata masjid tungesikia wakipiga swala Click to expand... Nimekuruhusu pumzika Filipo Mulogo
sithole said: wakuu hv leo ni sikukuu kweli?manake wengine tumelala hatuna uhakika,na huku tulipo maporini hakuna hata masjid tungesikia wakipiga swala Click to expand... Nimekuruhusu pumzika Filipo Mulogo