sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Wapendwa wana JF, napenda kuchukua fursa hii kuwahabarisha kuwa mke wangu mpnz amejifungua mtoto wa kiume leo alfajiri..hivyo basi naona fahari(najua mwanangu atakuwa ni mwana JF mzuri tu-sijui nini junior.. bila shaka tena kule kwenye science n tech forumz...tehe) na faraja kubwa kuwa baba, am so happy people..soo happy! I love you my wife.. I love you my son.. Mama na mtoto wako poa kabisa..so much Thanks to GOD! Ngoja nilale sasa maana nilikuwa macho ucku kucha kusubiria...thank you.