Ngoja tu nijipe promo mi mwenyewe!! Ndo hivyo tena, ilikuwa pale OCEAN ROAD HOSPITAL miaka flanist iliyopita katoto kalilia ng'aaa, ng'aaaa!! huku kikila kiupepo cha pwani kilichochanganyika na kaharufu ka chumvi na shombo flani.
It is Me, I & Myself.......!!THANKS GOD FOR ALL YOU HAVE DONE TO ME!! {Nitarudi bidae kugonga likes!!}
The good about your BIRTHDAY Kuangukia leo ni kwamba it is a WEEK END
hivo you can give your self some "ME" Time....
Hongera saana kwa kuweza tena ona Mwaka....
My prayers to you to the Almighty ni kua akuwezeshe uwe
na Maisha Marefu ya Amani na Upendo....
wewe mtoto mbaya hatukukaribishi usije ukatuharibia shughuli.kwa sababu mdomo wako umechongoka kwa ajiri ya kutukana watu.wewe ukija hata pipi hupati coz una tabia mbaya.