Happy birthday Roulette! Mwaaaah

Asante sana, sidhani kua nilizaliwa kumoderate, nilizaliwa kukutana na marafiki, all the friends that you are. Pia nimebadili jina, kila saa watu walikua wanatuchanganya.
..

Sasa umekua mkubwa fasta sana....hope BD ilikua bomba...like you!
Kwa hiyo sasa hivi wanafupisha kukuita single R? :wacko:
 
Last edited by a moderator:
View attachment 60675
Nitamleta....but yeye anatumia hicho kinywaji hapo juu. Vinapatikana kwa wingi?


Iko mingi sana...ni sawa na kwenda kwa baresa na kuuliza kama atakuwa na sikirimu kwa wingi! kamati ya matumizi ya sherehe bado ina alot of drinks hadi chai kwa ajili ya ustaadh Rejao kuanzia saa moja jioni ipo

Ila vijana wangu Erickb52 na platozoom wao wana booze tangu mapema chini ya aungalizi wa Asprin.
 
Last edited by a moderator:
Wow....Welcome back Roulette, hatimaye sasa umetolewa public walau wakuone na watu wengine....mwah...
Thank you so much Shem, you are the best!

Hommie umemwona Roulette? Yaani pamoja na kuwa MC wa shughuli na mpifapicha mkuu hakuna sehemu aliyonigongea LIKE wala kuniquote wala kunimention wala kunishukuru....Kwanini Kaizer? Why? Inauma sana asee...
Unajua nimerudi post zangu na nimekuta kweli sijakushukuru... I am sorry dear, sijui imetokeaje. Thank you soooo much my dear ODM. Kama nilivo kwambia siku ile wether you like it or not I have auto-procvlamed myself "best friend of ODM" sasa sijui nilisahau vipi. hahaha
 
Sasa umekua mkubwa fasta sana....hope BD ilikua bomba...like you!
Kwa hiyo sasa hivi wanafupisha kukuita single R? :wacko:
Yeah, kuna ambao wananiita R, wengine wanasema "single R" but I think "roulette" is not that long... bora tu roulette.
 
.....na ushacheza hiyo russian roulette?

Yeah, kuna ambao wananiita R, wengine wanasema "single R" but I think "roulette" is not that long... bora tu roulette.
 
Umeona eh? You are a good girl. Umesamehewa zambi zako zote mpaka za kesho.

Ramadan Kareem.
 
Vijana wana hangover, nshacheki na Asenga ndo anamalizia kuchuna mbuzi.
 

my dear nakutakia kila jema maishani,
nakutakia, nguvu, baraka na mafanikio
kwa kila ufanyalo, nakutakia kheri ya
kuishi miaka mingi mpaka uone vitukuu,
nakutakia baraka zote zitokazo kwa Mwenyezi Mungu
I just wanna say Happy Belated birthday hun.
Roulette

 
Last edited by a moderator:
Unanionea bure mkuu......
Hivi mkeo Catherine ana uhusiano gani na mama wa kwanza?


Unaona anavyo divert topic sasa...mambo ya mke wangu na mama nanii yanamuhusuni!??
She was reciting a poem for your information!
 
:hug: Thank yu sooo much dear, I am so touched! Amina, amina, amina! Jazzakalah-u Kayran!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…