Happy birthday Rogie !!!!!

Happy birthday Rogie !!!!!

Ni kama kaka kwangu,rafiki yangu,mshauri wangu,mtani wangu na zaidi ya yote ni mume wangu(hapa hadi mwili umesisimka......lol).Nakutakia maisha mema na yenye baraka tele na Mwenyezi Mungu akupe kila lenye kheri katika maisha yako my dia.Happy birthday my lovely husband Rogie
 
Last edited by a moderator:
Ni kama kaka kwangu,rafiki yangu,mshauri wangu,mtani wangu na zaidi ya yote ni mume wangu(hapa hadi mwili umesisimka......lol).Nakutakia maisha mema na yenye baraka tele na Mwenyezi Mungu akupe kila lenye kheri katika maisha yako my dia.Happy birthday my lovely husband Rogie

Ooops what a romantic message !!! Rogie
Leo lazima anenepe!!!
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday brother Rogie mungu akujaalie usiwe maisha marefu na yenye furaha
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday brother Rogie mungu akujaalie usiwe maisha marefu na yenye furaha

Hiyo "usiwe"unamaanisha nini?Unajua utaniua kwa pressure au unataka nikuletee watoto wangu uwalee......lol
 
Last edited by a moderator:
Happy birthday shemeji Rogie....wii mbona hujanialika kula keki?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom