Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,408
- 31,392
Ahsante kiongoziHappy born date mkuu.....
Ahsante kiongoziHappy born date mkuu.....
Hayo majukwaa yote ni stress zones maana siku hizi m.m.u nako mada zake ni full stress...Kule ni poa sana ha ha ha. Mimi nakuita stress free zone au free ride. Kasheshe MMU. Mara waseme kaka kawa kaka-mkwe halafu wanamnanga Hamad(32) akiwa na bibi(80)
Kaulize MMU uone watakavyokushukia kwa tafsiriHahahaah! Kumbe kuna tofauti ya kichanga na mtoto.
Mada za kule zimebaki viungo tu, sioni zile za kifamilia.Hayo majukwaa yote ni stress zones maana siku hizi m.m.u nako mada zake ni full stress...
Thanks to wewe
Hii keki lazima itakuwa imetengenezwa old Korogwe karibu na liyokuwa C-LAB. Kama si old Korogwe itakuwa kwa Mdulu.
Nimeipenda, thanks kokutona
Ahaaa! kumbe kwa mama simkiwa. Hivi yule kijana wake mtundu tundu yupo wapi siku hizi?Umekosea bhanaaa imepikwa Korogwe girls kwa mama semkiwa, wakujua?
Enjoy mkuu ni vere delishaz.
Ahaaa! kumbe kwa mama simkiwa. Hivi yule kijana wake mtundu tundu yupo wapi siku hizi?