Happy Birthday Husninyo!

mbele ya husninyo tena? Ujue mimi ni mgeni humu jf na katika watu walionipokea vizuri ni huyu dada bwana yeye na ashadii.preta,lizzy na wengineo i wish her all the happiness in the world

bebii unataka kusema kina siye hatujakupokea vizuri eeh......ila akikupokea sweetie AshaDii ndo mimi ivo....lol (sasa sijui kwa ODM)
 
bebii unataka kusema kina siye hatujakupokea vizuri eeh......ila akikupokea sweetie ashadii ndo mimi ivo....lol (sasa sijui kwa odm)
nooo nimesemea wadada nyie tena ndo usiseme nyie ni familia yangu sana tu nawapenda sana mjue
 
Kwa kuwa ni husninyo....kwa kuwa mi ni freelance....
kwa kuwa ze pope sio mtu ya shida mingi.....
Nipangiwe kazi yoyote....ili mradi iwe ngumu....

HAPPY BIRTHDAY HUSNINYO!
 
Kwa kuwa ni husninyo....kwa kuwa mi ni freelance....
kwa kuwa ze pope sio mtu ya shida mingi.....
Nipangiwe kazi yoyote....ili mradi iwe ngumu....

HAPPY BIRTHDAY HUSNINYO!

Aisee...wewe ndugu yangu utakuwa na kazi kuchanja kuni, kuna shoka lipo tayari, na kuzifikisha jikoni. of course kutakuwa na biya along the way...ndo pekee unaruhusiwa kunywa kabla ya mida yenyewe lol

(aisee hizi pande zimependeza sana muulizie Bigi)
 
I really wanted to send HUsninyo a good photo ya birthday.... ooops, doggy hapo pembeni akaamua kuslide


Happy birthday
 
nooo nimesemea wadada nyie tena ndo usiseme nyie ni familia yangu sana tu nawapenda sana mjue

Ngoja nimuulizie ODM kama amepaona apo. nafurahi kitu kimoja tu kuwa sasa hivi umekuwa kakubwa kubwa lol
 
Ngoja nimuulizie ODM kama amepaona apo. nafurahi kitu kimoja tu kuwa sasa hivi umekuwa kakubwa kubwa lol
Nimepaona hommie, cheki post #28. Nimeifail hapo hiyo yuziful posti.
 

Hommie kuchanja kuni si ngumu...lol

Umesema bigi katorokea pande nzuri?
 
Afadhali,naona na siku zako za kufa zinakalibia.una thamani gani duniani?naongea na wewe husninyo..
 
Afadhali,naona na siku zako za kufa zinakalibia.una thamani gani duniani?naongea na wewe husninyo..

za kwako zinarudi nyuma which is good for you naona. Ungemuwish kwanza happy birthday ndo uongee naye hayo
 
Afadhali,naona na siku zako za kufa zinakalibia.una thamani gani duniani?naongea na wewe husninyo..
 



HBH (Happy Birthday Husninyo)
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…