Happy birthday honey, Archduke

Happy birthday honey, Archduke

Hahahahha babe nataman unambie now now, hakuna alieyibiwa babe nakupenda peke yako na moyoni mwangu uko peke yako labda ngeli zako ha ha ha ha
unanitafutia matatizo babe ntakuambia just nikumbushe
 
unanitafutia matatizo babe ntakuambia just nikumbushe
Matatizo yako ni yangu, shida zako n zetu sote furaha yangu n vicheko kwetu wpte wawili babe mimi ni machozi na wewe mkono kunifuta kila napolia wewe n mto mm ni kichwa niegemapo kila usiku baada ya kaz nyibgi na mambo mengi ya kutwa nzima we are in this together, hauko peke yako kila utakachoface naface na mm wew ni mimi mimi ni wewe love you baba balqis!
 
Matatizo yako ni yangu, shida zako n zetu sote furaha yangu n vicheko kwetu wpte wawili babe mimi ni machozi na wewe mkono kunifuta kila napolia wewe n mto mm ni kichwa niegemapo kila usiku baada ya kaz nyibgi na mambo mengi ya kutwa nzima we are in this together, hauko peke yako kila utakachoface naface na mm wew ni mimi mimi ni wewe love you baba balqis!
love more mama yake balqis, mwanamke wa maisha yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom