Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Hongera sana baba yangu, Rais Wangu and Mpendwa wangu, Ndugu yangu Jakaya Kikwete..
Umetimiza miaka hiyo ukiwa Madarakani tena kwenye taifa ambalo linakabiliwa na matatizo lukuki mithili ya mtu mwenye njaa, Lakini katika Kipindi hiki ndio Muhimu kufikiria hata kama kuna watu wengine wanaweza kutimiza miaka hiyo kwa vijana wengi wa kileo au wale wa DOT. COM maana ndio Taifa la Kesho..
Asante Mkuu wangu na Mungu Akubariki sana katika Yote Rais Wangu
Umetimiza miaka hiyo ukiwa Madarakani tena kwenye taifa ambalo linakabiliwa na matatizo lukuki mithili ya mtu mwenye njaa, Lakini katika Kipindi hiki ndio Muhimu kufikiria hata kama kuna watu wengine wanaweza kutimiza miaka hiyo kwa vijana wengi wa kileo au wale wa DOT. COM maana ndio Taifa la Kesho..
Asante Mkuu wangu na Mungu Akubariki sana katika Yote Rais Wangu