Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,201
Khaaaah!! Si uko na chai!!usisahau na kachumbari basi!
Kunywa chai inatosha.
Khaaaah!! Si uko na chai!!usisahau na kachumbari basi!
Amen!!Happy birthday mdada mkarimu Mwenye upendo na busara za aina yake, usiyejua kujikweza natamani sana nikuone live naamini IPO siku ntakuona lakini
Auntie tatizo nahisi una foleni kubwa hata nimemsahau.Sijui mie auntie..
Hivi nilikuwa nimesimama na nani ile siku???
HahahahahaAuntie tatizo nahisi una foleni kubwa hata nimemsahau.
Kwani unafikiri hata nilikuwa nasubiri mualiko!! Niko njiani ninakuja hivyo.Hahahahaha
Karibu Christmas aunt yangu
Yaani wewe nakugawa auntKwani unafikiri hata nilikuwa nasubiri mualiko!! Niko njiani ninakuja hivyo.
Usawa huu ukisubiri mualiko unaishia kuisoma namba. Yaani nawasapraiz tu, najua kunifukuza hamuwezi.Yaani wewe nakugawa aunt
Siwezi kukufuza jamani...Usawa huu ukisubiri mualiko unaishia kuisoma namba. Yaani nawasapraiz tu, najua kunifukuza hamuwezi.
Mimi ukija kwangu bila mualiko nakufukuza hivii mchana kweupeUsawa huu ukisubiri mualiko unaishia kuisoma namba. Yaani nawasapraiz tu, najua kunifukuza hamuwezi.
Daddy, miss you. Thanks muchHeaven Sent Happy belated birthday Douta..Naona uzee unanijia vibaya
Namba ya nini tena mama?Siwezi kukufuza jamani...
Vipi hujawahi namba tuu
Mwenza ujue tushakuwa wahenga!! Ila mie nimerudi nyuma now nina 20 tu.![]()
![]()
ndo nini kunizeesha sasa
Amen my ndugu. Tuombe tu uzima, I wish tuonane pia, tucheke tu pamoja na mengine mengiHappy birthday mdada mkarimu Mwenye upendo na busara za aina yake, usiyejua kujikweza natamani sana nikuone live naamini IPO siku ntakuona lakini
Kwani nafukuzika sasa!!Mimi ukija kwangu bila mualiko nakufukuza hivii mchana kweupe
Tuma tu M pesa, yenyewe haiangalii muda
Aa wee nani kasema. Nina miaka 22 mimi usinizeesheMwenza ujue tushakuwa wahenga!! Ila mie nimerudi nyuma now nina 20 tu.
Tuma tu M pesa, yenyewe haiangalii muda
M pesa yangu sijui juu hata nilitumia lini hadi ishakuwa dormant