Hasara tupu!!Naomba nichukue fursa hii kumwish happy birthday Mheshimiwa Halima Mdee.
Naomba salamu hizi zimfikie popote pale alipo.
View attachment 718719
Hata mi namuelewa sana natamani cku moja nipate lunch pamoja na yeye.Taratibu kaka. Hayo mengine tunatafutiana ugomvi sasa.
Brother fba falcon zako zinakuruhus kabisa kuvuta huyu mtoto maana uhakika wa hesab siupo kama yy alivyona uhakika wa hesab za mjengon kipnd cha mwisho wa mwez na kwenye vikao jiachie tu brotherhili dada nalipenda sana mwaaaaaaah
Oooo, not bad.Wanasema siyo busara kumuuliza mdada/mwanamke umri wake ila kwa kuwa google siyo mstaarabu amesema amezaliwa 1978.
acha wivuTaratibu kaka. Hayo mengine tunatafutiana ugomvi sasa.