Asante mpnz kwa kukumbuka siku yako japo umechelewa km ulivyosema.nilizaliwa tar 30/01/1984 siku ya jumatatu saa 11 kamili alfajiri.namshukuru Mungu jana nimetimiza miaka 27 hvyo kuwa mbioni kuelekea uzeeni.asanteni nyote mlionitakia mema na baraka,nami nimefarijika sana.zaid ya yote nakushukuru tena AD kwa kukumbuka hili kwan hata firstman wngu hakukumbuka kabisa hvyo kunitia majonzi .hata mr president pia kasahau,sijui yuko wapi?
Aisee umezaliwa siku moja na last born wangu....kumbe we katoto namna hii? Mbona unayaweza makubwa kuliko umri wako?
Hebu uje huku chumbani nikupe busara zangu.
hahaha ..babu unataka kunipa ukaguzi?makubwa hayana umri babu wengne tumekulia vijijini.teh..ni pm km vp nikakutabirie kabisa
Wewe ya kwako ilikuwa juzi ulikuwa BORN AGAIN lol!!!
Aisee umezaliwa siku moja na last born wangu....kumbe we katoto namna hii? Mbona unayaweza makubwa kuliko umri wako?
Hebu uje huku chumbani nikupe busara zangu.
Leo unaikumbuka, sikuyo ya kuzaliwa,
Ni siku yenye Baraka, furaha tele kujawa,
Furaha iso pimika, shukurani kuzitowa,
Heri FirstLady1, kwa siku yako ya kuzaliwa.
Mwanaharakati wetu, utujuzaye maisha,
Wewe ni darasa kwetu, maarifa yaso kwisha,
Wafunza juu ya utu, mengi watuelimisha,
Heri Nathjohn, kwa siku yako ya kuzaliwa.
Mashairi kwa hisani ya Malenga Wetu lol
nimeweka hapa ajili ni wapenzi wetu wa MMU..
usijali itahamishwa leo jioni...
Asante mpnz kwa kukumbuka siku yako japo umechelewa km ulivyosema.nilizaliwa tar 30/01/1984 siku ya jumatatu saa 11 kamili alfajiri.namshukuru Mungu jana nimetimiza miaka 27 hvyo kuwa mbioni kuelekea uzeeni.asanteni nyote mlionitakia mema na baraka,nami nimefarijika sana.zaid ya yote nakushukuru tena AD kwa kukumbuka hili kwan hata firstman wngu hakukumbuka kabisa hvyo kunitia majonzi .hata mr president pia kasahau,sijui yuko wapi?
Huna haja ya kuhamsiha humu humu panatosha...mbona maxence anauliza maoni ya watu juu ya marekebisho ya JF kwenye jukwaa la siasa
asante sana my dear ...
ningeweka kule watu wengi wasingiiona..
na FL ni wa hapa ndo maana nikaweka hapa my dear ..
asante aeee:first:
Happy Birthday NathJohn.MUNGU akufanikishe ufikie matamanio yako.
Happy Birthday my lovely friend FL.Hongera sana kwa kufikisha umri ulionao sasa.MUNGU akutangulie na awe pamoja nawe katika maisha yako na afanikishe ndoto zako na malengo yako uliyojipangia.Akupe upendeleo aliowapa wanawaisrael wakati wantaoka Misri.
Nakuandalia pati ya kukupongeza lakini itafanyika jumamosi nyumbani kwangu.Pati hii itainclude Ladies tu.Kwahiyo wadada wote wa JF mtakaopenda kuungana nami katika kumpongeza rafiki yangu FL mnakaribishwa sana.Mnaweza mkaniPM for more information.
Ni kwa wadada tu!!!
I love You My Friend FL.
Birthday and any other wish is about love, so here is where they belong....keep the flame burning AD, halafu muwe makini sana na huyu mzee anayejiita asproo, si mtu mzuri huyu na maukaguzi yake!
yaani hapo umenena mkuu
nataka nikupe senks 10 lakini nimeshindwa hahaah lol
mmmhh babu Asprin
yeye anataka kukagua wajuuku wake wa kike..
lakini siku hizi hanitaki tena sijui kwa nini..
na mimi ndo nilikuwa nafanya kazi zote za kumtafuna kucha
na kumlamba matongo tongo ..
hahahahah lol (duuhh hata mie nakinai nilicho andika ) hahahah lol