Msingida
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 12,208
HBD Evelyn Salt
Kama ni hivyo basi mimi nina miaka 12😂Ahsante Kipenzi Changu am 24 ephen_
Mwaka jana ulisema ulikuwa na miaka 30 leo una umetimiza 28 mbona sielewi hizi hesabu.Nawashukuru Airtel Tanzania kwa kunitakia heri katika hii siku yangu.....kesho nitanunua kreti la soda niende nalo airtel.
Happy birthday to me am turning 28 leo.
Niliibiwa simu 😂Mwaka jana ulisema ulikuwa na miaka 30 leo una umetimiza 28 mbona sielewi hizi hesabu.
MAGAZIJUTOMwaka jana ulisema ulikuwa na miaka 30 leo una umetimiza 28 mbona sielewi hizi hesabu.
Utaujua tu lazizi wanguu Waridi wa ❤️ WanguuuMbona unaniuzia kesi
Mimi tu huo mchele wa Kyela siujui😂
Utapewa vyoote utakavyo shemeji yangu.Sitaki mchele naomba baiskeli ya SSH
Sasa kwa Luca unategemea neno la ukweli??? 😁 chauongo wa ccmUsinidanganye🥹
Tatizo anavyoongea utadhani kweli vileeSasa kwa Luca unategemea neno la ukweli??? 😁 chauongo wa ccm
Mkuu sijaelewa ujue.Nawashukuru Airtel Tanzania kwa kunitakia heri katika hii siku yangu.....kesho nitanunua kreti la soda niende nalo airtel.
Happy birthday to me am turning 28 leo.
Trust me bro 😁Mkuu sijaelewa ujue.
Mwaka 2013 ulikuwa unaadhimisha kutimiza miaka 24, lakini toka 2013 hadi 2025 ni takribani miaka 12 sasa lakini ndiyo kwanza unasema una miaka 28?😬🤓
Kwamba tangu 2013 hadi 2025 kwako wewe umeongezeka miaka 4 pekee?
Mkuu unanikumbusha pigo za Wema Sepetu yeye kila mwaka ana miaka 28 wakati mwaka 2006 nikiwa primary yeye alikuwa tayari Miss Tanzania kwa maana alishavuka miaka 18.
Mimi nikutakie tu heri ya kutimiza miaka 36 taslimu mkuu.Nawashukuru Airtel Tanzania kwa kunitakia heri katika hii siku yangu.....kesho nitanunua kreti la soda niende nalo airtel.
Happy birthday to me am turning 28 leo.
Mtakie HBD tu kisha kausha. mna calculate miaka yake unataka kumuoa?Mkuu sijaelewa ujue.
Mwaka 2013 ulikuwa unaadhimisha kutimiza miaka 24, lakini toka 2013 hadi 2025 ni takribani miaka 12 sasa lakini ndiyo kwanza unasema una miaka 28?😬🤓
Kwamba tangu 2013 hadi 2025 kwako wewe umeongezeka miaka 4 pekee?
Mkuu unanikumbusha pigo za Wema Sepetu yeye kila mwaka ana miaka 28 wakati mwaka 2006 nikiwa primary yeye alikuwa tayari Miss Tanzania kwa maana alishavuka miaka 18.
Kumbe dogo em muwe mnatupa shikamooNawashukuru Airtel Tanzania kwa kunitakia heri katika hii siku yangu.....kesho nitanunua kreti la soda niende nalo airtel.
Happy birthday to me am turning 28 leo.





Kuharibiana tu mipango kwakweli 😂😂Mtakie HBD tu kisha kausha. mna calculate miaka yake unataka kumuoa?