Hii ndio siku ambayo bi.Anne Makinda,spika wa bunge letu tukufu la serikali yetu sikivu na yenye kuwajibika alizaliwa.Happy birthday to you anna makinda pamoja na wote uliozaliwa nao siku moja.
amezidi sana kuwapendelea jamaa zake wa ccm. inabidi awe anasoma alama za nyakati kwamba sasa hivi muda umesogea sana kwa ccm kuendelea kubebwa... itapigwa chini mara moja
Alizaliwa leo hii kwa sababu. Akumbuke tu kwamba amani ya bunge letu i mikononi mwake kwa manufaa ya taifa letu. Busara na imuongoze katika matendo yake bila kujali itikadi za vyama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.