Basi njoo ukae karibu umshikie mikono au miguuHee hapana nataka sana mimi ni nani basi hadi nikatae ofa iliyotukuka kama hii kwa Babu Asprin
Abeeee
Basi tuhagiane kwenye party in fact nitakuwa nakupa kampani!Abeeee
Nimekuhamu le big Shemeji!!!

EwaaaaBasi tuhagiane kwenye party in fact nitakuwa nakupa kampani!![]()
![]()
Asee...kampan la jana acha tuEwaaaa
Leo itabidi unipe tuu kampani naona le Mkubwa atakuwa njia kuu

HahahaAsee...kampan la jana acha tu![]()
![]()
Eti babu alitaka atoroke atufate haniamini?Hahaha
Nililipendaaa

Anawezaje kukuamini wakati we damu changa....Eti babu alitaka atoroke atufate haniamini?![]()
Nliona tu shemeji ujue inaumagaAnawezaje kukuamini wakati we damu changa....
Ila alikosa amani ujue

Lakini tulifanya nini kibaya mpaka aumie vile??!Nliona tu shemeji ujue inaumaga![]()
![]()
AseeeYes... It is my birthday...
Baada ya kukurukakara za maisha ya utoto na ujana...
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hatimaye leo imempendeza tena Mungu kuniongezea mwaka mwingine katika maisha yangu...
O
Ahsante Mungu .... Ahsante na kwa ndugu jamaa, wajukuu na marafiki kwa kuwa nami hadi hivi leo...
![]()
CC: Wife Sky Eclat ... Tumetoka mbali mama
![]()
BCC: Mchepuko Sakayo ahsante kwa faraja, bibi yako anapokuwa hayupo.
![]()
Habari hizi ziwafikie ndugu jamaa na marafiki popote pale walipo
Numbisa Bonny mshana jr Inna Shunie espy emmyta Mwifwa nasubiria zawadi zenu... Huyu mzaliwa habagui vinywaji.