Siwezi kukupuuza. Wanaume ni wanaume

.Kati ya maneno 10 watayoyaongea 8 ni ya uongo.
Nimekuamini Khantwe.
Siwezi kukupuuza. Wanaume ni wanaume

.Si unajua mchaga mbele ya hela hashindwi kusema amezaliwa miaka 2000 iliyopita?
Rafiki yangu siji naye Khantwe kasema Mume wa mtu sumu.![]()


naomba uende na mimi ila Kaboom usimwambie Umefanya busaraSiwezi kukupuuza. Wanaume ni wanaume.
Kati ya maneno 10 watayoyaongea 8 ni ya uongo.
Nimekuamini Khantwe.
Will forever be there for you!
Ndugu zangu hawana hizo "r" badala ya "l" bhana.Daaah ndugu zako wananifunza vibaya
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
NawaambiaUsiwaambie kama mimi nimesema hivyoooo

. Kwamba umesema kwamba.......tena naongeza na chumvi. Ili ukija nyumbani wagome kukupa hata maji.Sawa sawa😀😀😀😀


unajua bhana. Rudi uniambie.Eti hali chakula kikashuka ananiwaza Mimi tuu
Akianza kukung'ang'ania? Nikusubiri au niondoke


Enheeee, ???????????Conglat to you too.
You know what I mean.
Hawezi we twende tuAkianza kukung'ang'ania? Nikusubiri au niondoke![]()
Teh teh..Akili kama za dada ako..Shem mi nikifanikiwa na we neema inakufikia..Njoo nae banaSi unajua mchaga mbele ya hela hashindwi kusema amezaliwa miaka 2000 iliyopita?
Rafiki yangu siji naye Khantwe kasema Mume wa mtu sumu.![]()
Tangu lini mkabaji akakabwa?Basi saa mbili uje. Uwe makini usikabwe.
