Hahahahaha kumbe ni zilipendwa.
Tatizo hukunitambulisha




Hahahahaha kumbe ni zilipendwa.




Sawa twendeHebu twende piemu
Thank you kiduku mpapaso.
Asante mkuu. Kweli itabidi iwe kwa wirelessHeri ya kuzaliwa mkuu,tutakuletea zawadi kwa njia ya 'wireless'
Amen , AMEN.miaka mingi mama P....Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda, akutimizie malengo yako ili birthday zako zijazo ziwe zakukumbukwa na zenye furaha,afya na mafanikio.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah usijali mkuu nimekusoma.Hahaha, no.. Wasiojulikana![]()
Fanyia kazi homework basiHahah usijali mkuu nimekusoma.
Hahahha sawa sawa.Fanyia kazi homework basi
Thank you Madame.![]()
Huyu ni my pal (a good friend ). Madame STutambulishane au nipigie mstari jawabu?
Ndiyo. Msisahau wallets zenu.Safiiii. Tuje piyemu???
Sijambo mkuu. Naona......au nitakuambia piyemuHujambooooo???
can we meet and talk..Binti yangu? Mie bado binti miaka 18 nafikisha mwezi wa 11. NB bado "bikLA".