Happy b'day Freeman Mbowe (KUB)!!

Happy b'day Freeman Mbowe (KUB)!!

Happy bday mwenyekiti wangu Kamanda mkuu Freeman Mbowe.
Mungu akupe nguvu uishi miaka mingi.
 
9k=
images
Z
2Q==
 
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,

Sijui ni lini ccm nyie mtakubali kutumia akili japo kidogo. Well, siku hizi hatutegemei magazeti ya uhuru na daily news au radio tbccm kupata habari. Naongelea madai yako ya Mh Mbowe kutumia Shs 5,000,000 KWA SAA kwa kusafiri kwa Hellicopter.

CHADEMA hawana (na hawajahi japo kukodi) hellicopter yeyote ambayo ni twin engine. Hellicopter za kivita aina ya Apache ni twin engine na zinatumia gallon 62 (karibu lita 283) kwa saa, hii ina maana zinatumia chini ya Shilingi LAKI NANE kwa saa kwa kutumia bei za mafuta za Tanzania. Hata ukisema CHADEMA wanamlipa rubani USD 1000 kwa saa na jumlisha na engine hour/depreciation, milioni 5 kwa saa umeipataje?

Wenzenu tunaoishi kwa kutumia akili zetu bila kubebwa tuna akili za ajabu siku hizi. Kamwambie kikwete ukweli huu (kama unaweza that is maana najua ukisema ukweli kibarua chake kitaota magugu) kuwa zama za kudaganya Watanzania ZIMEKWISHA!
 
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,

Kama sitakichangia chama faida yangu ni ipi? Mimi nitakuwa sina faida na sina historia ya chama,
 
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,

M4C imekutekenya kulekule kunako mpaka unatoa ushuzi! chezeya cdm weye
 
...Now ana miaka 56 na nchi ya 'Ahadi' haijapatikana nawakumbusha tu.
 
Back
Top Bottom