Mbona niliwahi kusikia kuwa alizaliwa december 1961, ndio maana akaitwa Freeman?
Mbona niliwahi kusikia kuwa alizaliwa december 1961, ndio maana akaitwa Freeman?
ndo maana sisi tuliosoma shule za mkoloni,std viii tulifundishwa hesabu za kutoa na kukopa na kwenda na moja
Ok
1961 - 2013 =52
let 1961 be , independece year/freedom year
let 2013 be end point
Base year- end point=freedom of the freeman
then,
52 is the age of the freeman
Thus, Freeman is Freeman Aikael Mbowe ,the man of volour, the sword,the Cornerstone of the strong party in the weekend State.
Happy birthday The Giant!
Ameshakuwa mtu mzima sasa mwambieni aache kuuza Madawa ya kulevya.
Duniani kuna watu na viatu sijui wewe uko kundi gani.Ameshakuwa mtu mzima sasa mwambieni aache kuuza Madawa ya kulevya.
Ameijenga kwa maslai yake, ogopa mtu anaruka na chopa inayotumia 5,000,000 kwa saa moja, lkn anachangisha mia tano ya wananchi ambayo ameitafuta kuanzia asubuhi mpaka jioni, kama kweli alikuwa anawapenda wananchi kwa nini hiyo ela ya kupaa hewan asingetumia kujenga chama na kusaidia wananchi, usafiri anaweza kutumia gari tu kwanza la kawaida kabisa ambayo anaweka fuel 300,000 anazungunga arusha nzima na moshi,