Happy 64 Birthday Mr President JK

Happy 64 Birthday Mr President JK

Mzee wa farasi, mzee wa Boeing, kamnda vasco dagama,baba rizone, boys tumen, handsome, dah...... Umetisha. Mimi sikufagili
 
Sura. Wanawake wengi mlikuwa mnadhani mnachagua Mume kumbeRais wan chi. I think you have now come back to your senses after a 10 years oflife hardship in his tenure. Rudieni tena 2015 muje muisome namba fresh!
zamani walikuwa wakifua nguo za waume zao wanakuta noti siku hizi wakifua wanakuta shilingi hamsini na mia mia tena zile zilizokataliwa na makondakta.
 
Nakumbuka Nyerere aliondoka ikulu 1985 akiwa na miaka 63 tu. Mmoja pungufu ya umri wa leo wa huyu bwana. WHAT A CONTRAST!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom