The Iron
JF-Expert Member
- Apr 7, 2017
- 1,393
- 1,453
IGP kapewa Rungu lakiniMimi nikiwa mojawapo ya mfiwa tumetokea hospital ya Amana tumeambiwa mwili wetu utakuja makaburi ya kondo bahari.beach tutangulie maaana marehemu wetu atazikwa na serikali
Sasa tumefika kondo tumekuta familia tofauti.tofauti zinasubiri marehemu wao, hizi hawa ndugu wana majeneza yakuweka ndugu zao
Aisee, huu ugojwa unaua tujikinge na tuzidi kuomba
NB: kama unapita mitaa yaya kondo bahari beach jikinge vaa mask