Happening now at Kondo Bahari Beach: Marehemu wa watu tofauti kama 10 wanakuja kuzikwa hapa Kondo

Kuna mtu kaambiwa yeye kazi ni kuzungusha, nyonyo.. Sasa sijajua anamaanisha nini. Chukua tahadhari na ujikinge maana hata ukifa serikali bado itakusanya kodi kwa kuwa ndio jukumu lao la kwanza kwenye kununua jeneza lako na kwenye mafuta yatakayotumika kukusafirisha na kukuzikia
Anazungusha nyonyo!!!? nan tena
 
Huna Adabu wewe swali gani ilo?
Sina mashaka na taarifa yako Ila nina swali moja la msingi... Huyo ndugu yako alikuwa na maradhi mengine tofauti na Corona?

Nataka nijue Kama hili gonjwa linaweza kumng'oa mtu hata Kama Hana magonjwa mengine
 
46 Reactions
Reply
Back
Top Bottom