The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,097
- Thread starter
- #21
Khaaaa!!! Hizo ni hasira zake baada ya kukopa juice ya Sayona na kushindwa kulipaKloro hafai hachelewi kuanza kumtongoza wife
Hahaha... Kumbe ndo zake eeh?... Afu jana alikuponda eti unavaaga majoho ya graduation afu unatinga nayo disco...kumbe zilikuwa hasira za kunyimwa mwaliko..