Hapo vipi??

Hapo vipi??

Mkuu kuna member utamuua kwa kijiba cha roho...kapost sredi moja kwamba kazimika vibaya sana na swaga zako, so akiona umeshaoa anaweza kufa kwa mawazo coz ni she na alikuwa anakupenda mbaya!! ngoja tuone, waenda kimya sana, hata vikao vya harusi hukutuambia. Congrat boy
 
Mkuu kuna member utamuua kwa kijiba cha roho...kapost sredi moja kwamba kazimika vibaya sana na swaga zako, so akiona umeshaoa anaweza kufa kwa mawazo coz ni she na alikuwa anakupenda mbaya!! ngoja tuone, waenda kimya sana, hata vikao vya harusi hukutuambia. Congrat boy
Hahaha!!!! Sizinga mbona unamwaga mchele hadharani bana
 
Sikuhivyo avatar ni sura yako, bora wewe sio mnafiki bana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom