hapo ukitokea tu umeishaa

hapo ukitokea tu umeishaa

CTX

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
1,273
Reaction score
986
22894431_290440221443749_5714454083451163309_n.jpg
 
Unaisha chap. Mi ndo nikiwastukia nikawapiga picha.
 
Hapo mwenye haki ya kufanya hivo ni huyo mmoja tu wa kinguo chenye red
 
Wakiyarusha ndio utacheka unaweza kuta yakaishia hapo hapo na wakampiga mwenzao wa mbele
 
hao wa pembeni talaka yao hapohapo wangepata
alafu nakufa na huyo wa kati
 
itakuwa kuna jamaa labda kawatafuna wote halafu mwisho wa siku wakajuana,kwa hiyo akitokea tu wanaye.
 
Yaani hapo ukitokea ghafla
wanaweza kutimka bila hata
kuyatumia hayo mawe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom