the rebel warrior sp
Member
- Aug 30, 2014
- 14
- 32
Hizi sms zinajibiwaje maproo tusaidieni ...
Hizi sms zinajibiwaje maproo tusaidieni ...View attachment 1122100
Wasikuiz hawawez ita baba wala mamaMtoto wa kiume usiogope majukumu;ukitaka mpenzi wako akuite baba,mtatulie changamoto zake.
Hizi ”h” mbona wote kama mmesoma shule moja? Kweli bibi fox ni halali yake lile tusi lake. Hupo=upo. Hakitaka= akitakawana stahili moja siku hizi ya kuomba.kama hupo mbali naye.hakitaka kitu basi anaumwa hapo ujue ,jiandae ...
Hivi maproo maana yake nini mwananzengoHizi sms zinajibiwaje maproo tusaidieni ...View attachment 1122100
Mtoto wa kiume usiogope majukumu;ukitaka mpenzi wako akuite baba,mtatulie changamoto zake.

wanawake bhana unaweza baki unachekaha ha haIkifika mida ya kupigwa mzinga utasikia sasa baba yanguwanawake bhana unaweza baki unacheka
ha ha ha haWasikuiz hawawez ita baba wala mama