Kweli JK ndomana anshngaswa na umaskini wetu tumekalia majungu tuuuuu badala ya kujishugulisha na maendeleo yakujiongezea vipato mnakalia ubuuzi sasa unashangazwanini hapo kama bekam hata obama amepiga nae picha Mkuu Jakaya leo nimelipata jibu watanzania nhatuta endelea kimaisha wala kipato kwakuwa wajinga tunamajungu