Kuna binti wa kazi nimeletewa kutoka kijijini, ana miaka 22 hajavunja ungo, pia hakui sawa na umri wake, anaonekana kama ana miaka 12! ana tatizo gani? linatibika?
Mpeleke kwa Gynaecologist (Daktari wa magonjwa ya wanawake) atapatiwa ufumbuzi!
Wantampima level za certain sex hormones(eastrogens,progesterone etc) na wanaweza kumpatia suppliments kama wataona kuna upungufu huo!
inavyo onekana kutokana na maelezo yako huyo msichana tatizo lake kubwa ni kwamba hakuhi tena yaani hapo ndio keshafikia mwisho, kwa hiyo hapo tatizo kubwa sio kupata hedhi bali ni kuwa japo ana miaka 22, lakini mind yake na mwili wake bado huko kwenye utoto, madaktari wataelezea vizuri sana hili
Kuna binti wa kazi nimeletewa kutoka kijijini, ana miaka 22 hajavunja ungo, pia hakui sawa na umri wake, anaonekana kama ana miaka 12! ana tatizo gani? linatibika?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.