Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,515
- 28,504
Maisha ni kitu cha ajabu sana, kuna tetesi kuwa hawa jamaa kwenye picha walikua wakomaaji sana enzi zao.
Na huyu jamaa alikua mpiga mbonji sana, lakini leo kawa Boss wao wote na wao ni watu wa kawaida mno.
Na huyu jamaa alikua mpiga mbonji sana, lakini leo kawa Boss wao wote na wao ni watu wa kawaida mno.
