HahahahaaaZari kaishadata.....unampiga kibuti mtu ambae ashakuacha zamani???
Majibu ya Mtandale ni action tu.Apambane na hali yake
Umenichekesha, umenikumbusha mkalimani wakati wa kocha Maximo, alimwambia mchezaji kupitia mkalimani na mambo yakawa hivi:Sio anaongelea hizi mvua zinazoendelea?
Kwa kweliMajibu ya Mtandale ni action tu.
Anaweza kujinyonga!
Heheh!!Umenichekesha, umenikumbusha mkalimani wakati wa kocha Maximo, alimwambia mchezaji kupitia mkalimani na mambo yakawa hivi:
"you dribble the ball" Maximo
"Eti anamuulizia ndimbo" Mkalimani
"Eh, Ndimbo wa miaka gani mbona alishaacha kucheza kitambo" Mchezaji
Kwa hiyo ana tu - dummy tudogo pale hme kwake ...She once loved that dummy.. That dummy is the father of her children... I think she is the one who should think twice before posting.
Ama akamripoti kwa Makonda![]()
Ukibanwa JAMBAAMajibu ya Mtandale ni action tu.
Anaweza kujinyonga!
HahahaaaaUkibanwa JAMBAA
Yaan upande mwingine anafurahisha lakin,,Hahahaaaa
hivi kuna ule upuuzi mwingine ulipostiwa kule kwenye msiba wa Don wa Uganda... ule hakuuandikia ktk social media...Kuna upuuzi Dai ameupost umemuumiza bidada na anawashangaa mameneja wake kuuruhusu huo upuuzi upostiwe kwenye public.
Anasema watoto wameshaanza kumsahau baba yao kwani hajawaona muda.