Hapa Zari anamaanisha nini?

What I think is like she expected some kind of coaxing from the Tandale boy,but obviously it turned out to be different. We have to understand women.
Hahahahah A bossLady should be a woman of her words...unless she's just an affiliated boss
 
Hakujua ana zaa na kijana mtoto????akili bado hazijakomaa
 
Well said
 
Kama vipi aje kwa makonda[emoji23][emoji23][emoji23]
 
unajuwaje kama anaongelea Dai? dah watu wengine majanga kweli..
 
Mwanamke ukimuacha na umezaa naye ni shida tupu, hapo watoto hata uwajali vipi atasema huwajali ili mradi amepata pa kusemea. Hii inanitokea hata mimi na mzazi mwenzangu
Acha tu Mkuu wangu,
Na Hivi Wanawake wanatumia mwanya wa kuishi na mtoto ndio wanamjaza maneno chungu mzima ya uongo kuhusu Baba mpaka mtoto anaanza kumchukia Baba yake kwa maneno ya Ungo.
 
Ila huyu dogo dimondi inabidi apimwe akili sio kwa mambo hayo
 
Anywe panadol atapona halafu watoto wamemsahau baba yao ndani ya miezi miwili tu?? Kama ni kweli basi ni baba yao wa kufikia sio mzazi hahahahahaha
 
Ataenda kumshtaki kwa Makonda kwa kutotoa matunzo kwa watoto
 
an i-diot can only fnck and have kids with a fellow i-diot!

kapish??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…