Sina hakika ni wapi ila sio Lembeni hapo. Chunguza mfano unatokea Same kwenda Moshi, mbele kushoto kuna kimlima pia kuna mashamba ya mkonge na barabara imenyooka haina kona.
Ukiangalia kama unatokea mwanga kuja same Barbara inakimwinuko flani lakini kushoto kwako hakuna hicho kimlima.