C cleva genius Member Jul 20, 2015 34 12 Aug 22, 2015 #2 kama sikosei barabara ya kuelekea kyela na hapa ni tukuyu....
Nifah JF-Expert Member Feb 12, 2014 31,571 65,417 Aug 22, 2015 #4 Mandhari safi,nimepapenda. Hakika Mbeya ni green city.
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #5 cleva genius said: kama sikosei barabara ya kuelekea kyela na hapa ni tukuyu.... Click to expand... pazuri sana
cleva genius said: kama sikosei barabara ya kuelekea kyela na hapa ni tukuyu.... Click to expand... pazuri sana
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #6 nifah said: Mandhari safi,nimepapenda. Hakika Mbeya ni green city. Click to expand... kwetu pazuri nimepakumbuka
nifah said: Mandhari safi,nimepapenda. Hakika Mbeya ni green city. Click to expand... kwetu pazuri nimepakumbuka
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #7 Kinyungu said: Tukuyu hapo Click to expand... umenowaaa Kinyungu
clemence JF-Expert Member Mar 31, 2011 594 212 Aug 22, 2015 #8 Ni tukuyu kuelekea stendi ya mabasi na upande wa juu ni ilipokuwa stendi ya mabasi ya railway
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #9 clemence said: Ni tukuyu kuelekea stendi ya mabasi na upande wa juu ni ilipokuwa stendi ya mabasi ya railway Click to expand... watu na kwao bhana
clemence said: Ni tukuyu kuelekea stendi ya mabasi na upande wa juu ni ilipokuwa stendi ya mabasi ya railway Click to expand... watu na kwao bhana
K kasara Member Jul 12, 2015 14 4 Aug 22, 2015 #12 Hapo ni Tukuyu ukitokea cartex kuibukia stand ya tukuyu
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #13 BIGURUBE said: Very green... Click to expand... i love it
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #14 kasara said: Hapo ni Tukuyu ukitokea cartex kuibukia stand ya tukuyu Click to expand... haswaaaaaaaaaaaaaaaaa
kasara said: Hapo ni Tukuyu ukitokea cartex kuibukia stand ya tukuyu Click to expand... haswaaaaaaaaaaaaaaaaa
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 71,021 94,074 Aug 22, 2015 #15 Hapo nadhani itakuwa ni Tukuyu... Mbele kidogo hapo upande wa juu ni Chuo cha Ualimu Msasani na kushoto chini stendi kuu ya mabasi...
Hapo nadhani itakuwa ni Tukuyu... Mbele kidogo hapo upande wa juu ni Chuo cha Ualimu Msasani na kushoto chini stendi kuu ya mabasi...
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #16 Swadaktaaaaaaaaa watu8 said: hapo nadhani itakuwa ni tukuyu... Mbele kidogo hapo upande wa juu ni chuo cha ualimu msasani na kushoto chini stendi kuu ya mabasi... Click to expand...
Swadaktaaaaaaaaa watu8 said: hapo nadhani itakuwa ni tukuyu... Mbele kidogo hapo upande wa juu ni chuo cha ualimu msasani na kushoto chini stendi kuu ya mabasi... Click to expand...
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Aug 22, 2015 Thread starter #17 Tukuyu kumbe pazuri aisee
mgosi9 JF-Expert Member Jun 17, 2014 1,581 261 Aug 22, 2015 #18 Japo Sijawahi Fika Nami Nijibu Tu Kuwa Ni Tukuyu.
D Descartes JF-Expert Member Jul 24, 2013 2,765 1,663 Aug 22, 2015 #19 Bagamoyo ya "Neu Langeburg"- Tokyo-Took-you-Tukuyu...?
Totos Boss JF-Expert Member Dec 30, 2012 5,456 1,565 Aug 22, 2015 #20 cleva genius said: kama sikosei barabara ya kuelekea kyela na hapa ni tukuyu.... Click to expand... Umepatia kwakweli mkuu
cleva genius said: kama sikosei barabara ya kuelekea kyela na hapa ni tukuyu.... Click to expand... Umepatia kwakweli mkuu