Hapa Sitii Neno

Hapa Sitii Neno

Huu nao unaweza kuwa mjadala fulani......hii mbona jaikaa kwa nidhamu au nimeangalia vibaya, ngoja na kesho pia nitaangali ili kujiridhisha....kha! firstlady?
 
Huu uzi sijauona na hata hizo sura sijawahi kuziona.
 
Tafadhali msije mkasababisha watu wakang'olewa kucha na meno kisa comment za hii picha! Me naona iko kawaida tu
 
Hapa watu wa itifaki walikuwa wamweleze mapema Bi. Salma kwamba kutakuwa na kuvalishwa brooch na mwanamme ili avalie nguo zinazoweza kuendana na tukio (kama jacket la juu, au vazi lenye mfuko) bila ya kuibuka kwa hali kama hii

Lakini inawezekana pia aliambiwa lakini akachemsha, manake nae hajambo

Alituvalia koti lenye ngozi ya mnyama katika nchi za watu zinazopinga matumizi kama hayo ya wanyama.

Alituaibisha
 
Rais+wa+Lion+Club+DSM,+Lion+Frank+Goyayi+akivisha+Mama+Salma+beji+ya+uanachama+wa+Lion.JPG

Bwana Safari nimeelewa uzito wa TITTLE baada ya kuona picha yenyewe....Mimi NAFUTA HATA MAWAZO KICHWANI MWANGU; NASEMA PICHA SASA SIJAIONA!!!!
 
Bwana Safari nimeelewa uzito wa TITTLE baada ya kuona picha yenyewe....Mimi NAFUTA HATA MAWAZO KICHWANI MWANGU; NASEMA PICHA SASA SIJAIONA!!!!

Kwa vile ilikuwa ni usiku na wahusika wamevaa nguo nyeusi na macho yetu haya ya viroba si rahisi kuiona picha......:yo::yo::yo:
 
Hii picha si ya ukweli, na kama niyaukweli je walikubali kupigwa, hapa mwandishi kaingilia uhuru wao, kama niyaukweli ilipigwa kwa siri, alie piga na akamatwe. ( natania bwana, its nice picture) nasikia mama kaibandika bed room kwakwe ( usiniulize nani kanambia.
 
Na usitie neno mwaya..msitu wa pande ndo kwaanza bado vioja vinaendelea huko.
 
Back
Top Bottom