Haha.Hao jamaa wanapatikana Dasalaam tu!.
Wale wa mikoa mingine hawana fujo kama za hao wanaoiba hadi nguo za ndani!.
View attachment 2324927
Samora Avenue, na njia ya kuelekea TRA LONG ROOM (Agrey/ Algeria Street)
Clock tower ya Dar,Arusha au?Mita chache kutoka clock tower, huu mji ukizurura vibaya unaweza kanyaga makaburi ya maaharifu ukaumwa na nyuki
Hayo mawingu nilifikiri mlima!Hao jamaa wanapatikana Dasalaam tu!.
Wale wa mikoa mingine hawana fujo kama za hao wanaoiba hadi nguo za ndani!.
View attachment 2324927
Samora avenue unatoka clock tower kuelekea Askari monument.
samora jengo unaloona mbele ni choo cha city kushoto na benki ya NBC kulia. Mpiga picha alisimama karibu na Clock Tower kwenye zebra. Hiyo njia anayotokea mwendesha mkokoteni inaingia stesheni.

Hao jamaa ni kero sana asee, nimejaribu kuangalia kitu ambacho hakipo mikoa mingine ambacho kipo Dasalamu tu.Haha.
Picha nzima umewaona wao tu itakua wanakukera sana.