Napingana nawe hapa ni jukwaa la picha na mtu anaweza kupost chochote kwa kuzingatia sheria za jukwaaMaswali mengine ya ajabu kweli. Hii picha umeitoa wapi mpaka utuulize "hapa ni wapi". Inaelekea watu wengine hawana kazi za kufanya
Utimamu wa akili unajionyesha hata kwa kile unacho post hata kama huvunji sheriaNapingana nawe hapa no jukwaa la picha na mtu anaweza kupost chochote kwa kuzingatia sheria za jukwaa
Inawezekana kabisa hana cha kufanya lakini amekushughulisha
Usangi Mwanga
Hapana mkuu mbona hii kitu ipo toka zamani sio ku kosa kazi ni kama brainteasers nyingine tu au mafumboMaswali mengine ya ajabu kweli. Hii picha umeitoa wapi mpaka utuulize "hapa ni wapi". Inaelekea watu wengine hawana kazi za kufanya
Mkuu nasikia Mologolo iko mkoani Morogoro, ni kweli?Mologolo
HahaahaaMkuu nasikia Mologolo iko mkoani Morogoro, ni kweli?
OK naona tuna mitazamo tofauti kwenye hiliHapana mkuu mbona hii kitu ipo toka zamani sio ku kosa kazi ni kama brainteasers nyingine tu au mafumbo
Rafiki mdomo haufumbuki au?Mologolo