Hapa ni wapi? Atakayepatia vocha inamuhusu

Hapa ni wapi? Atakayepatia vocha inamuhusu

Vocha ya Tsh ngapi? Km ni 10000+ nakupa jibu
 
attachment.php
 
Hapo ni kirua vunjo kuna mto mmoja unaitwa cholo bila shaka ndipo
 
Hapo panaitwa CHEMKA Boma ng'ombe- mitaa ya Rundugai.

Tuma vocha fasta kabla sijaongea na Admn akudelete fasta.:A S wink::A S-eek:
 
Tangeni Morogoro kabla ya Escrow
 
Utalii wa ndani muhimu sana.Sio watz kuingia mbuga za wanyama book(1000) tuu ila idadi ya maudhurio wazungu wametuzidi.

tatizo sio 1000 ya kiingilio.....tatizo unafikaje hadi hapo unapolipa hio 1000 na logistics nyingine kwa mfano unatoka Dar na vivutio vingi vipo mikoa ya kaskazini.
 
tatizo sio 1000 ya kiingilio.....tatizo unafikaje hadi hapo unapolipa hio 1000 na logistics nyingine kwa mfano unatoka Dar na vivutio vingi vipo mikoa ya kaskazini.
Wewe mzungu anatoka Russian mpkn na Ukreini anakuja kuona Makumbusho ya Taifa dar es salaam opposite na IFM wewe unaishi Kigamboni unafanya kazi BOT au Ofisi ya bunge hujawahi leta familia yako hata siku moja kutembelea waone.
Unaniambia logistic tatizo acha siasa mdau kwenda mikumi national park miundo mbinu mizuri kbs wakati wa saba saba kuna offer bado hatuendi.......?
Sema mtazamo wako ndio watanzania wengi tupo hivyo hivyo sio kama nimejitoa hapana ndivyo tulivyo porojo kibao.
 
Wewe mzungu anatoka Russian mpkn na Ukreini anakuja kuona Makumbusho ya Taifa dar es salaam opposite na IFM wewe unaishi Kigamboni unafanya kazi BOT au Ofisi ya bunge hujawahi leta familia yako hata siku moja kutembelea waone.
Unaniambia logistic tatizo acha siasa mdau kwenda mikumi national park miundo mbinu mizuri kbs wakati wa saba saba kuna offer bado hatuendi.......?
Sema mtazamo wako ndio watanzania wengi tupo hivyo hivyo sio kama nimejitoa hapana ndivyo tulivyo porojo kibao.

huyo huyo mzungu unaemsema wewe mimi naenda kwao natembea sehemu ambazo hata yeye hajawahi kufika.weka mzungu pembeni....kuna gharama zaidi ya hio tzs 1000 unayoisema. thats my point. huwezi kulaumu watu hawaendi huko kisa tzs 1000,kuna gharama zaidi ya hizo,mimi nishaenda huko najua gharama zake kwa mtanzania wa kawaida sio hela kidogo ni nyingi.

btw niliposema logistics sikuwa na maana hali ya barabara,nilimaanisha mpangilio mzima wa kufika huko,malazi na gharama za chakula....hivi zile lodge mikumi wanachaji how much per night?
 
Back
Top Bottom