Hapa ni kazi tu!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,742



Halafu ukifika mjini unaleta ubitozi na usista duu!!! Unajifanya huwezi kupanda basi lilojaa kwa maana hutaki kusimama kwenye basi. Lkn huko kijijini kwenu huchagui, utachagua vp wakati kipick up kama hicho kikipita leo saa 8 mpaka kesho saa 8. Tena kila kiumbe anayetaka kusafiri kwa wakati huo mnajichanganya. Ubitozi pembeni


 

Attachments

  • HAPA N? KAZ? TU.jpg
    20.9 KB · Views: 160
Mchana kweupe pale kariakoo mtaa wa sikukuu kibaka alimpora binti simu na alipopiga kelele kuomba msaada alijibiwa na wapita njia "..hapa kazi tu.."
 

Mmmmm! Hapa kazi tu!
 
Mleta mada hueleweki haya ni machungu ya kukosa mahaba au :thumbdown:😡
 
Mfano ng'ombe akijisaidia humo....

Mfano tu
 
.
msoga chalinze hiyo
 



Halafu ukifika mjini unaleta ubitozi na usista duu!!! Unajifanya huwezi kupanda basi lilojaa kwa maana hutaki kusimama kwenye basi. Lkn huko kijijini kwenu huchagui
,

Tena wa hivyo wapo wengi sana
 
wewe jamaa inawezekana ukawa mbabu kabisa lakini akili za kitoto, ona hii uliyopost.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…