Ukiwa kwenye Boat unatoka Zanzibar mida ya saa Kumi na mbil...hilo eneo la nchi kavu maeneo ya Wazzo Hill ndio unaliona. na kwa mbali ni kiwanda cha Cement.
Welldone! Chukua Tano!
Mkuu usihofu,mimi natamani na nina uwezo wa kulipa,nilichokuwa nataka kujua mahali kiwanja kilipo!Chunga taamaa mbaya chunga taamaa mbaya (%20)
Mkuu hata mm nilivopaona tu nilijua ni slipway!na wanasema slipway ndo kuna sunset nzuri zaidi kuliko sehemu yoyote hapa TZ