Bulamba
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 14,249
- 13,541
Huyo jamaa atakuja na nadharia zake zisizo na kichwa wala miguu.Mh Kiranga unakaribishwa kwa heshima na taadhima PoPoTe uLiPo
Ni hopeless case.Nilidhani Kiranga ni mtu mwenye tafakari ya juu sana kuhusu mambo ya ulimwengu badae nikahitimisha kuwa ni mtu anayependa ubishi wa kilevi na usio na tija.
Maneno Mengi ya Kiranga ni pumba tu na ujinga.