Sodoku
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,277
- 2,933
Huwa nawaza kutokana na akili wanazodhan wanazo binadamu, maarifa na teknolojia. Bado kuna siri ambayo hakuna aliyewah itambua au ivumbua miaka nenda rudi. Hii imebaki kuwa Siri ya Mungu. Aliposema kufa Utakufa Hakika imebaki hivyo miaka yote.
Lakini katika hili hakubagua. Wamekufa na watakufa watu wazuri kwa wabaya, matajiri kwa maskini, wakakamavu kwa dhaifu, wababe na wanyonge.
Na siku ya kifo bado imebaki kuwa ni siri. Bado hakuna anayejua ni nini kinatokea. Bado hakuna aliyeweza kuongeza urefu wa maisha yake.
Kama ambavyo binadamu ameshindwa hata kuongeza urefu wa nywele zake kwa mahangaiko ndivyo ambavyo Mungu anazidi kuonesha yupo.
Ukiwaza kuwa pamoja na Ubabe idd amin alikufa, hitler alikufa,sadam alikufa, osama alikufa, watu mashuhuri lkama akina mandela, martin luther king, abraham lincoln, g.washington, w. Churchil, plato,socrates, aristotle na hata albert einsten pia
Na wote wanakufa wanakufa kifo ambacho mwishoni wanakuwa wamekufa.
Kaa chini angalia utendaji wa siafu,vipepeo, wanyama ,wadudu na ndege. Angalia kazi walizo nazo wazaz wa wanyama na wadudu. Angalia DOCUMENTARY YA ANIMAL ARE BEATIFUL PEOPLE. utaona Mungu anatenda kazi zake kupitia hata matendo ya wanyama.
Sayansi hujitahidi kuja na maelezo. Sikatai.lakini maelezo yao yote huishia ukingoni sehem flan. Watatoa maelezo yote ila kuna sehemu watakutajia maneno ambayo yana kikomo sehemu flan.
Lakini katika hili hakubagua. Wamekufa na watakufa watu wazuri kwa wabaya, matajiri kwa maskini, wakakamavu kwa dhaifu, wababe na wanyonge.
Na siku ya kifo bado imebaki kuwa ni siri. Bado hakuna anayejua ni nini kinatokea. Bado hakuna aliyeweza kuongeza urefu wa maisha yake.
Kama ambavyo binadamu ameshindwa hata kuongeza urefu wa nywele zake kwa mahangaiko ndivyo ambavyo Mungu anazidi kuonesha yupo.
Ukiwaza kuwa pamoja na Ubabe idd amin alikufa, hitler alikufa,sadam alikufa, osama alikufa, watu mashuhuri lkama akina mandela, martin luther king, abraham lincoln, g.washington, w. Churchil, plato,socrates, aristotle na hata albert einsten pia
Na wote wanakufa wanakufa kifo ambacho mwishoni wanakuwa wamekufa.
Kaa chini angalia utendaji wa siafu,vipepeo, wanyama ,wadudu na ndege. Angalia kazi walizo nazo wazaz wa wanyama na wadudu. Angalia DOCUMENTARY YA ANIMAL ARE BEATIFUL PEOPLE. utaona Mungu anatenda kazi zake kupitia hata matendo ya wanyama.
Sayansi hujitahidi kuja na maelezo. Sikatai.lakini maelezo yao yote huishia ukingoni sehem flan. Watatoa maelezo yote ila kuna sehemu watakutajia maneno ambayo yana kikomo sehemu flan.