sing8
Member
- Dec 7, 2017
- 12
- 6
Nimepita mtaa mmoja hapa jijini Dar es salaam, nimekutana na kibao kimeandikikwa MAGU halafu mbele yake baada ya maneno hayo pamefutwa, nilipochunguza zaidi nikaona maneno yaliyokuwepo yalikuwa yameandikwa FULI. Nilipouliza wenyeji wakaniambia mtaa ulikuwa unaitwa kwa jina la huyo bwana mkubwa baadaye wakaamua kufuta maneno ya mbele. Nikajiuliza, nini maana ya hii. Hebu tujuzane, tafsiri ya hiki kitendo.