samurai
JF-Expert Member
- Oct 16, 2010
- 11,495
- 24,222
1. Siasa ndio maisha ya mtanzania kwa sasa.
2. Ngono/pombe na starehe kwa ujumla ndio maisha ya mtanzania kwa sasa.
Hivyo vitu viwili hapo juu kwa sasa vinalipeleka taifa utumwani tena, wasomi wetu hawana msaada tena zimebaki porojo, wananchi wengine mtaani kule ni mwendo wa kubet, vigodoro, chura, diamond na kiba, bongo movie na stori zake.
Kiuhakika bongo za watanzania kwa sasa hazifanyi kazi ni kama zimesimama.
Bungeni ndio hivyo tena pumba zinaendelea yaani no formula, mbunge anaongea utafikili anasoma STD 2B, hakuna dira kifupi inayoweza kutabiri future yetu.
Wasomi wamegeuka watumwa wa wanasiasa wameshindwa kabisa kulisaidia taifa na kujisaidia wenyewe hata pale pasipohitaji fundi ila ni akili yao tu kwa kile walichosomea..
Watanzania wenzangu tunafanyeje tutoke hapa??
2. Ngono/pombe na starehe kwa ujumla ndio maisha ya mtanzania kwa sasa.
Hivyo vitu viwili hapo juu kwa sasa vinalipeleka taifa utumwani tena, wasomi wetu hawana msaada tena zimebaki porojo, wananchi wengine mtaani kule ni mwendo wa kubet, vigodoro, chura, diamond na kiba, bongo movie na stori zake.
Kiuhakika bongo za watanzania kwa sasa hazifanyi kazi ni kama zimesimama.
Bungeni ndio hivyo tena pumba zinaendelea yaani no formula, mbunge anaongea utafikili anasoma STD 2B, hakuna dira kifupi inayoweza kutabiri future yetu.
Wasomi wamegeuka watumwa wa wanasiasa wameshindwa kabisa kulisaidia taifa na kujisaidia wenyewe hata pale pasipohitaji fundi ila ni akili yao tu kwa kile walichosomea..
Watanzania wenzangu tunafanyeje tutoke hapa??