Hapa ndipo nashindwa kuwaelewa wanaume

Hapa ndipo nashindwa kuwaelewa wanaume

Kaa tu mwenyewe! Hata ukipata mwanaume utamsumbua tu.
Asante kwa kuweka bango la "TAHADHARI"
 
Sio tatizo la wanaume ni suala la opinions za wanaume tofauti kama ingekua kila mwanaume ana set ya matatizo hayo ndio ungesema wanaume shida ila kati ya hayo uliosema kila mwanaume ana chake anachopenda na asichopenda ..

Shida ipo kwenu wanawake nyie wenyewe kwanza hamjielewi mnahitaji nini, mnaishi kwa nguvu za hisia zenu tu leo hisia zikikutuma hivi unakua hivi zikikutuma vile unakua vile .. ..

Na ndio maana wanawake kwa wanawake hampendani kwakua wote hamuelewani
hahaa..Wanaume mnaelewana kwa sababu nyote lenu moja!Hakuna mnachojua zaidi ya uanaume wenu..Yaani hamtagaki kushauliwa wala kuambiwa na mbaya zaidi hata ukimkuta mwanaume asiye jua bado atataka ajishebedue na ukisema unataka kumuokoa anakuona Shangingi lol!Wanawake hatupatani kwa sababu kila mtu anajua chake anachotaka..Sio nyie .
 
Wanaume bhana ukiwa mjuaji wa mamboz utaitwa kahaba changudoa ukiwa hujui utaitwa gogo sijui golikipa, ukiwa unamjulia hali mara kwa mara utaitwa msumbufu, ukiwa unamchek mara chache utaambiwa humjali na ukiwa na wivu nae utaambiwa hujiamini, usipokua na wivu nae utaambiwa humpendi hapa ndo huwa siwaelewi.

Duuh nyie viumbe wanaume mmenishnda, mie na punyeto tu.
wewe jipige nyeto sana,siku unakutana na na jamaa unakua hukojoi na utajuta kutoona raha ya tendo
 
Kuwa wewe kama wewe usijaribu kuwa kama Fulani ili kumridhisha MTU

U will be very disappointed
 
Wanaume wasio jielewa ndio wanakua hawana jema lakini mwenye kujitambua huwezi kumsikia anaongea hivyo,ila WAPO wenye tabia za ajabu kama hizo...
Umeongea ASALI [TAG] NIMPENDENENANI[/TAG] kwa kifupi hyu [TAG]Illuminata Rodgers[/TAG] wanaume wote aliokutana nao hawajielewi. Aise koma kutujumuisha na hao vilaza wako
 
Wanaume bhana ukiwa mjuaji wa mamboz utaitwa kahaba changudoa ukiwa hujui utaitwa gogo sijui golikipa, ukiwa unamjulia hali mara kwa mara utaitwa msumbufu, ukiwa unamchek mara chache utaambiwa humjali na ukiwa na wivu nae utaambiwa hujiamini, usipokua na wivu nae utaambiwa humpendi hapa ndo huwa siwaelewi.

Duuh nyie viumbe wanaume mmenishnda, mie na punyeto tu.
Hao ni wanaume wa Dar
 
Bidada nipe kazi ya kukuletea vilainishi na vifaa vingine vya hiyo 'nyeto'...nije PM tubonge biznezz??


[HASHTAG]#mpigadealmstaafu[/HASHTAG]
 
hahaa..Wanaume mnaelewana kwa sababu nyote lenu moja!Hakuna mnachojua zaidi ya uanaume wenu..Yaani hamtagaki kushauliwa wala kuambiwa na mbaya zaidi hata ukimkuta mwanaume asiye jua bado atataka ajishebedue na ukisema unataka kumuokoa anakuona Shangingi lol!Wanawake hatupatani kwa sababu kila mtu anajua chake anachotaka..Sio nyie .
Hebu tuambie ni wanaume wangapi ambao wamesababisha ukate tamaa kiasi hicho, maana kam ni kuanzia 10 - 20 bado hawajatosha kusema kuwa hautuelewi tunataka nini.

Una miaka mingapi kwanza?
 
Wanawake bwana...
Ukimpa hela anasema Muhongaji, Ukimtafuta mara kwa mara unaitwa Buzi, Ukimsaidia kaz za ndan unaitwa Bwege, Ukiwa unakula hela yake unaitwa Marioo usipompa hela unaambiwa Hujui kutunza/mchoyo , Ukitembea na aliekuzid umri unaitwa Kiserengeti Ukitembea na uliemzid umri unaitwa Sugar Dady
 
Pole sana... Binadamu ni wagumu sana... Si wanawake wala wanaume... Roho yake imavyomtuma ndiyo hivyo hivyo...


Cc: mahondaw
 
Wanawake bwana...
Ukimpa hela anasema Muhongaji, Ukimtafuta mara kwa mara unaitwa Buzi, Ukimsaidia kaz za ndan unaitwa Bwege, Ukiwa unakula hela yake unaitwa Marioo usipompa hela unaambiwa Hujui kutunza/mchoyo , Ukitembea na aliekuzid umri unaitwa Kiserengeti Ukitembea na uliemzid umri unaitwa Sugar Dady

Hahahaahhahahaahahahahaha
Nimependa tu hii comment lol
Wanawake sisi mhm
Ok bai

Cc Smart911
 
Wanaume bhana ukiwa mjuaji wa mamboz utaitwa kahaba changudoa ukiwa hujui utaitwa gogo sijui golikipa, ukiwa unamjulia hali mara kwa mara utaitwa msumbufu, ukiwa unamchek mara chache utaambiwa humjali na ukiwa na wivu nae utaambiwa hujiamini, usipokua na wivu nae utaambiwa humpendi hapa ndo huwa siwaelewi.

Duuh nyie viumbe wanaume mmenishnda, mie na punyeto tu.
Basi sawa
 
Wanaume bhana ukiwa mjuaji wa mamboz utaitwa kahaba changudoa ukiwa hujui utaitwa gogo sijui golikipa, ukiwa unamjulia hali mara kwa mara utaitwa msumbufu, ukiwa unamchek mara chache utaambiwa humjali na ukiwa na wivu nae utaambiwa hujiamini, usipokua na wivu nae utaambiwa humpendi hapa ndo huwa siwaelewi.

Duuh nyie viumbe wanaume mmenishnda, mie na punyeto tu.
Ngoja nipige picha dushe langu nikutumie ili likusaidie kwenye kupiga nyeto
 
Back
Top Bottom