Mtuflani Official
JF-Expert Member
- Dec 31, 2019
- 1,938
- 4,354
Yaani na hili joto lote la Dar, Tanesco mnaamua kukata umeme. Jana mmekata umeme usiku mkarudisha saa sita usiku. Watoto wanapata joto mpaka wanaumwa. Wengi sasa wanavipele kwenye miili yao.
Huku tunakoelekea sasa mtaua watu. Biashara za watu wanaohitaji umeme mshawatia hasara. Sasa mnaelekea kuchukua uhai wa watu.
Huku tunakoelekea sasa mtaua watu. Biashara za watu wanaohitaji umeme mshawatia hasara. Sasa mnaelekea kuchukua uhai wa watu.