Hapa mkuu Lifecode alikuwa anamaanisha nini?

Kuna njia nyingi sana za kuujua ukweli, moja wapo ni kuuliza yanayo endana na uhalisia.

Leo hii naweza nisijue kwanini tunaambiwa Virusi vinatengenezwa, ila naweza kujua ukweli kwa kuuliza kwa yule anae sema Virusi vinatengenezwa. Huu ni mfano tu.

Kwahiyo kuona au utufikishie ujumbe unatakiwa pia utuambie na utujibie maswali yanayo gusa msingi au misingi ya kile unacho tuelezea.

Pili, mimi sina majibu ila mimi nina uhalisia wa mambo jinsi yalivyo na tunavyo yadiriki mambo ya nadharia na kuhakiki vitu kwenye makaratasi ndio ambayo hatuyataki na yameshapitwa na wakati sababu hayaakisi uhalisia wa mambo zaidi ya dhana na kubahatisha. Hakuna nadharia ambayo inaweza kuthibitisha ukweli wa nadharia nyingine mzee. Leo huwezi kutuambia "Dark Energy " ndio imeshikilia uhai wetu, bila kutuambia imetoka wapi na inafanya vipi kazi na ipo wapi na ni nani wakwanza kusema hivyo na ilikuwaje mpaka akahitimisha hilo ?Akili salama inakataa hizi porojo.

Tatu, suala la mtu kutokueleweka lina sababu nyingi sana, miongoni mwa sababu hizo nji watu kuukataa ukweli kwa makusudi, na wengine kupeleka mapenzi mbele pasi na kuhoji, hata huyo anae elezea mambo hayo laiti angeamua kuhoji asingeendelea kuandika haya.

Nne, kadhalika lengo langu sio wewe unielewe au wengine wanielewe au wale wanielewe, bali lengo langu ni kuufikisha ukweli basi na ukweli unafika kwa njia hii pia.

Ahsante.
Vizuri kabisa!

Hapa umekiri kwamba unauhalisia wa mambo yalivyo.

Sasa nikuombe kitu kimoja hapa kuhusiana na mada husika. Hebu tupe uhalisia wa Mambo yalivyo katika yafuatayo na ututhibitishie kwamba ndio uhalisia wenyewe kwa kutupa ushahidi usio na shaka:-

1. Tupe uhalisia na ushahidi kwamba katika elimu ya namba na maumbo hakuna siri yoyote iliyofichwa ama iliyokusudiwa kufichwa na waanzilishi wa elimu hizi au namba na maumbo yapo yapo tu havina siri wala kitu chochote zaidi ya kutumika kufundishia mashuleni.

2. Toa uhalisia na ushahidi wako kwamba hakuna kitu wanasayansi wamegundua na kukiita "Dark energy"

3. Tupe uhalisia na ushahidi kwamba hakuna virus wanaotengenezwa na kundi la watu maalum kwa malengo yao ya kimkakati katika dunia hii

Nadhani hizo ndo hoja kuu zilizomo humu na ambazo unaona kama zimeongelewa isivyo na uhalisia! Hebu tupe uhalisia ulivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kukosoa katika duru ya kielimu kama huna hoja ya msingi ya kufanya hivyo.

Chuku muda ufikirie, pembe au sanamu lina athari gani au lina kupa nini au linakusaidia nini katika kuujua ulinwengu au mambo yaliyofichikana au linakuunganisha vipi na uhalisia ?

Tatizo, narudia tena tunavutiwa sana na ngano za Wanasayansi. Ila siku mkiamka na mkaanza kuyapima mambo katika uhalisia mtajiona mmechelewa

Uzuri ni kuwa Uhalisia ulianza kuwepo hata kabla ya hizi ngano za kisayansi, na kurudi katika asili ni jambo jepesi mno.

Ahsante.
Ila unatambua kwamba katika dunia hii kuna namna makundi fulani yanataka kufanya "communication" bila ya makundi mengine kufahamu wanacho communicate?

Je, tukisema moja ya makundi hayo yanatumia ishara au michoro ya mapembe na vitu vingine tunavyoviona havina maana wao kufichwa taarifa zao napo ni makosa? Au huamini Kama michoro, namba, maumbo na ishara mbalimbali zinaweza kutumika katika kuficha taarifa wanazotaka makundi mengine yasiijue kabla ya mipango yao kutimia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huwezi kukosoa katika duru ya kielimu kama huna hoja ya msingi ya kufanya hivyo.

Chuku muda ufikirie, pembe au sanamu lina athari gani au lina kupa nini au linakusaidia nini katika kuujua ulinwengu au mambo yaliyofichikana au linakuunganisha vipi na uhalisia ?

Tatizo, narudia tena tunavutiwa sana na ngano za Wanasayansi. Ila siku mkiamka na mkaanza kuyapima mambo katika uhalisia mtajiona mmechelewa

Uzuri ni kuwa Uhalisia ulianza kuwepo hata kabla ya hizi ngano za kisayansi, na kurudi katika asili ni jambo jepesi mno.

Ahsante.
Pia na wewe nikuombe ukae chini utafakari:-

1. Kwanini hayo mapembe yapo duniani?

2. Kwanini watu walikaa chini na kubuni aina mbalimbali za mapembe!? Je, walikosa kazi za kufanya wakaona wajifurahishe kwa kuchora hayo mapembe!?

3. Kwanini watu walikaa chini na kuanza kutengeneza masanamu!? Walikosa kazi za kufanya? Kwanini hayo mapembe na masanamu yanapewa hadhi duniani? Ni kupoteza muda au wote hawana akili wanao yatengeneza na kuyapa thamani!

Hebu tafakari hayo halafu utupe uhalisia wake kama unavyodai kwamba wewe ni mtu wa kutoa uhalisia

Nadhani utakuwa umetusaidia sana



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaka maana ya kujifunza, inaenda sambamba na kuhoji ili uoate kuelewa jambo kama lilivyo. Sasa tatizo langu ni kuhoji au ninacho kihoji hakina maana.


Nakuelewa vizuri. Twende taratibu, mpaka muda huu sijaenda katia upande wa imani yangu, sababu nina hoja za kiakili pia na ndio nazo zitumia katika mada hii.

Lakini, kuchagua upande sio jambo baya ndio maana sisi hatuwalaumu nyinyi kuwa katika upande huo ambao mpo, ila unachotakiwa kujua ni kuwa UKWELI una mea popote.

Tatu, kupinga sio jambo baya kadhalika, swali napinga nini na je nina hoja juu ya kile ninacho kipinga ?
Kwa mfano labda niulize unapo pinga wewe upande wako unakuwa na hoja au na maswali peke yake?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vizuri kabisa!

Hapa umekiri kwamba unauhalisia wa mambo yalivyo.

Safi kabisa, kwanza nakutoa wasi wasi ya kuwa uhalisia hata wewe ukiutaka unauona, yaani upo, mfano wa uhalisia ni kuwepo wewe, na kuwepo kwa jua na usiku na mchana na kuwepo kwa njaa na mfano wake, huu wote ni uhalisia.
1. Tupe uhalisia na ushahidi kwamba katika elimu ya namba na maumbo hakuna siri yoyote iliyofichwa ama iliyokusudiwa kufichwa na waanzilishi wa elimu hizi au namba na maumbo yapo yapo tu havina siri wala kitu chochote zaidi ya kutumika kufundishia mashuleni.

Kwanza kabisa, ni nini maana ya Elimu ? Elimu ni kukidiriki kitu kama kilivyo, yaani kiwe kweli na si kinyume chake.

Ushahidi ni kuwa hakuna mtu aliye buni namba fulani, kwamba namna moja ameibuni fulani, na namba mbili ameibuni fulani, zaidi ya kutoa majina.

Pili, hakuna muanzilishi wa elimu fulani bali wapo walioweka kanuni juu ya elimu fulani, sababu namba zilikuwepo hata kabla ya hao walio weka maana zao juu ya namba walizo zikuta.
2. Toa uhalisia na ushahidi wako kwamba hakuna kitu wanasayansi wamegundua na kukiita "Dark energy"
Ushahidi upo katika maana ya Dark Energy, husemwa yafuatayo juu ya maana ya Dark Energy.

Nanukuu :

1. Dark Energy is a theoretical form of energy postulated to act in opposition to gravity and to occupy the entire universe, accounting for most of the energy in it and causing its expansion to accelerate.

2. In physical cosmology and astronomy, dark energy is a term that describes an unknown form of energy that affects the universe on the largest scales. (Wikipedia)

Sasa mimi sijaona jaribio lolote lililo fanywa na wanasayansi likagundua uwepo wa Dark Energy, kama lipo hilo jaribio, niambieni na mtuambie walitumia njia gani za Kisayansi kujua hil,hili swali nimeliuliza zaidi ya mara mbili humu.
3. Tupe uhalisia na ushahidi kwamba hakuna virus wanaotengenezwa na kundi la watu maalum kwa malengo yao ya kimkakati katika dunia hii

Uhalisia nikuwa hakuna kiumbe kinachoweza kuumba kiumbe kingine, sababu jambo la Roho liko nje ya uwezo wa mwanadamu. Na kinyume chake ni ukweli, sababu hakuna anae weza kurudisha kiumne kilicho kufa.

Kuna Prof mmoja, aliwahi kusema anaweza kuumba "Funza" alicho kifanya, ni kuchukua mkate na mchuzi fulani, akaviweka sehemu baada ua siku kadhaa funza wakaanza kutokea, kisha akarudi darasani akawaonyesha wanafunzi wake kisha akasema ameumba "Funza" wanafunzi wake wakacheka sana.
 
Kaka nakupata vizuri sana. Ila sidhani kama umeelewa nilichokiandika. Nimetumia lugha nyepesi kuelezea uhalisia wa mambo jinsi ulivyo, mimi sitafuti ushindi ndio maana kitu kufikia muafaka katika mjadala huwa sio lengo langu, bali lengo langu ni kufikisha hoja Kisha naenda zangu.

Lakini unasahau hata au mtoa mada au mwingine hasa tunae mzungumzia anapofikisha jambo lake anajua ya kuwa jambo lake ni KWELI tupu, sasa kwanini tuhuma hii iwe kwangu tu na isiwe kwa watu wengine ? Sisi waswahili tuna msemo wetu husemwa hivi "Kunya anye kuku, akinya bata amehara", hili ni tatizo linalosababishwa na MAPENZI/MAHABA juu ya jambo fulani, na huwa linafifisha nuru ya akili na kuuona ukweli.


Sitengenezi maswali na huku nikiwa na majibu, na kama hali iko hivyo, basi inaonyesha ukweli wangu na si kinyume chake.

Nacho fanya mimi nikuonyesha watu ya kuwa haya mambo ni mepesi sana na hakuna siri kama wanavyo dai bali ni sanaa, za wao kufanya mitazamo yao ndio iwe sheria, huu ujinga haupo na ni wa kukemewa.


Mtindo huu labda uwe mgeni kwako,ila huu ndio mtindo wa kujadili mambo kwa dhati yake na kwa uhalisia wa mambo. Jambo unalo litengeneza wewe kwanini ulazimishe sisi tulione la kweli wakati ukweli uko wazi na tukikupa muda uonyeshe ukweli wake huwezi kufanya hivyo ?

Mathalani tuna ambiwa kuhusu "Dark Energy" hii ni nadharia ambayo huaminiwa na watu kwamba inashikilia uhai wetu, lakini swali, kwa mujibu wa Sayansi walitumia njia gani kujua hilo ? Kwanini wahitimishe jambo juu ya wazo ambalo halithibitishiki ?
Kwa kuanzia tu, naomba unisaidie kuainisha uongo wa mtoa mada ana uniwekee ukweli wako au kama kuna ref. Yoyote basi unisaidie nipate kwenda kusafisha macho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kuanzia tu, naomba unisaidie kuainisha uongo wa mtoa mada ana uniwekee ukweli wako au kama kuna ref. Yoyote basi unisaidie nipate kwenda kusafisha macho

Sent using Jamii Forums mobile app
Uongo wa mtoa mada unaonekana kwa kufikiri kiundani juu ya, haya anayo tueleza, sababu yanaenda kinyume na uhalisia hili hakihitaji reference zaidi ya akili na kuhoji.

Lakini, kwa kuanzia tu, tafuta maana ya "Dark Energy" kisha ilinganishe na anachokisema mtoa mada toka kwa aliye mnukuu, kisha tafakari kwa kuangalia uhalisia. Utaoma kuna sehemu akili ina kataa.
 
Uongo wa mtoa mada unaonekana kwa kufikiri kiundani juu ya, haya anayo tueleza, sababu yanaenda kinyume na uhalisia hili hakihitaji reference zaidi ya akili na kuhoji.

Lakini, kwa kuanzia tu, tafuta maana ya "Dark Energy" kisha ilinganishe na anachokisema mtoa mada toka kwa aliye mnukuu, kisha tafakari kwa kuangalia uhalisia. Utaoma kuna sehemu akili ina kataa.
Akili? Sema ni vipengele gani ambavyo akili yako imevikataa na kuvipinga na uviainishe hapa.

Maana ya dark energy imezungumziwa na makala au vitabu mbalimbali na sehemu tofauti tofauti kwa hiyo,

naomba uniambie wewe ulitumia makala au kitabu kipi kutafsiri na kuthibitisha kuwa dark energy ya mtoa mada si sahihi?

Na je kwanini uliiamini hiyo tafsiri uliyo amua kuifanya kama ndo tasfsiri kuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2. Kwanini watu walikaa chini na kubuni aina mbalimbali za mapembe!? Je, walikosa kazi za kufanya wakaona wajifurahishe kwa kuchora hayo mapembe!?

Haya mambo kung'amua hayahitaji akili kubwa, jiulize tu kati ya mapembe na ubunifu kipi kilianza ? Kama mapembe yalianza kisha ubunifu ukafata basi hao ni waongo, na kama ni kinyume chake, japo halipo hilo basi wa a poteza muda.

Lakini ukweli ni kwamba, kuutafuta ukweli kwa kuacha njia ya kuufikia ukweli huko, huko ni kujifurahisha na kupoteza muda, hao ni waongo.

Lakini wao ndio walipaswa zaidi kutuambia kwanini waliamua kubuni aina hizo za mapembe na kutoa maana husika ?
 
Akili? Sema ni vipengele gani ambavyo akili yako imevikataa na kuvipinga na uviainishe hapa.

Maana ya dark energy imezungumziwa na makala au vitabu mbalimbali na sehemu tofauti tofauti kwa hiyo,

naomba uniambie wewe ulitumia makala au kitabu kipi kutafsiri na kuthibitisha kuwa dark energy ya mtoa mada si sahihi?

Na je kwanini uliiamini hiyo tafsiri uliyo amua kuifanya kama ndo tasfsiri kuu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza, kabisa vipengele nimeshaviainisha zaidi ya mara moja.

Pili, nimweka maana mbili za "Dark Energy" moja ikiwa ya kutoka "Wikipedia". Lakini udhaifu wa jambo hilo upo katika maana sababu ni kitu ambacho hudhaniwa na huaminika na husemwa ni "unknown form of Energy".

Sababu mtoa mada hajaeleza maana ya Dark Energy zaidi ya kutaja sifa yake, na maana niliyo inukuu nimeikubali sababu imemili katika misingiya SAYANSI. sasa kama kuna maana nyingine nje ya hizi nilizo ziweka ziwekeni kisha tuzi chambue.

Nakukumbusha tu ya kuwa "Hakuna nadharia yoyote inayoweza kuonyesha ukweli wa nadharia nyingine".
 
Kwanza, kabisa vipengele nimeshaviainisha zaidi ya mara moja.

Pili, nimweka maana mbili za "Dark Energy" moja ikiwa ya kutoka "Wikipedia". Lakini udhaifu wa jambo hilo upo katika maana sababu ni kitu ambacho hudhaniwa na huaminika na husemwa ni "unknown form of Energy".

Sababu mtoa mada hajaeleza maana ya Dark Energy zaidi ya kutaja sifa yake, na maana niliyo inukuu nimeikubali sababu imemili katika misingiya SAYANSI. sasa kama kuna maana nyingine nje ya hizi nilizo ziweka ziwekeni kisha tuzi chambue.

Nakukumbusha tu ya kuwa "Hakuna nadharia yoyote inayoweza kuonyesha ukweli wa nadharia nyingine".
Mkuu nazani hujanielewa, naomba unisaidie tafsiri unayo iona ni. sahihi ya dark energy?

Tusiandike vitu virefu sana muda wote huu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nazani hujanielewa, naomba unisaidie tafsiri unayo iona ni. sahihi ya dark energy?

Tusiandike vitu virefu sana muda wote huu

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa wewe ndio hujanielewa mzee, nimeweka maana mbili humu za Dark Energy kisha nikazijengea hoja, sasa wewe ndio unapoteza muda hizo maana sijazitoa kichwani mwangu ni kwamba nimenukuu.

Hizo ndio maana nazozikubali, sasa chagua unayoitaka kisha ujenge hoja. Usipoteze muda.

Pili, sio "nazani" sahihi ni "nadhani".

Ahsante.
 
Haya mambo kung'amua hayahitaji akili kubwa, jiulize tu kati ya mapembe na ubunifu kipi kilianza ? Kama mapembe yalianza kisha ubunifu ukafata basi hao ni waongo, na kama ni kinyume chake, japo halipo hilo basi wa a poteza muda.

Lakini ukweli ni kwamba, kuutafuta ukweli kwa kuacha njia ya kuufikia ukweli huko, huko ni kujifurahisha na kupoteza muda, hao ni waongo.

Lakini wao ndio walipaswa zaidi kutuambia kwanini waliamua kubuni aina hizo za mapembe na kutoa maana husika ?
Hujajibu swali langu la msingi! Unaamini kuna watu wanaweza kutumia mapembe, michoro, namba au alama fulani kufikisha taarifa fulani kwa kutaka kundi la watu wengine wasielewe wanachokusudia?

Katika sehemu zote ulizojaribu kuni qoute kwa kutaka kujibu nilichokuuliza naona unaruka ruka tu! Sijui, labda wengine watanisaidia kama wanakuelewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo kung'amua hayahitaji akili kubwa, jiulize tu kati ya mapembe na ubunifu kipi kilianza ? Kama mapembe yalianza kisha ubunifu ukafata basi hao ni waongo, na kama ni kinyume chake, japo halipo hilo basi wa a poteza muda.

Lakini ukweli ni kwamba, kuutafuta ukweli kwa kuacha njia ya kuufikia ukweli huko, huko ni kujifurahisha na kupoteza muda, hao ni waongo.

Lakini wao ndio walipaswa zaidi kutuambia kwanini waliamua kubuni aina hizo za mapembe na kutoa maana husika ?
Njia ya kuufikia ukweli ni ipi? Labda ukijbu hili ki ufasaha huenda watu wakaanza kukuelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sababu hayajajileta na hao wanaosema yana siri hawawezi kuyaumba.

Kisja waambie hivi waache kupenda mteremko.

Naendelea...
Tunakubaliana kwamba hawawezi kuyaumba, Yes! Swali ni Je, hawawezi kuyatumia kuficha siri zao kwa watu wengine!? Yaani kutoweza kuyaumba kunawazuia wao kuyatumia kufikishiana taarifa kwa namna wanavyotaka wao!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom