Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Aliona mbali sana kwa kuwabebesha watoto wadogo mizigo ya chama.
Alikemea kuwatumia watoto wadogo kwenye mambo ya siasa kupitia kivuli cha SKAUTI.
Leo hii wameyasahau kabisa mawazo ya aliyekuwa mwenyekiti wao wa chama chao.
Kweli ccm ina wenyewe.
Yaani unambebesha mwanao majukumu ya chama ili iweje?
Alikemea kuwatumia watoto wadogo kwenye mambo ya siasa kupitia kivuli cha SKAUTI.
Leo hii wameyasahau kabisa mawazo ya aliyekuwa mwenyekiti wao wa chama chao.
Kweli ccm ina wenyewe.
Yaani unambebesha mwanao majukumu ya chama ili iweje?